Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

Ingekuwa hivyo basi kule Wallstreet watu wangekuwa wanalala miguu juu,na matajiri wote wangewekeza kwenye hayo mabot, endelea na msimamo wako.

ungependa kujua wanaingiza kiasi gan:

1702050699856.png
 
2023 bado mnapiga !? Hao jamaa njaa kali imagine laki 5 anakula kona ....Acheni kufuatilia watu mitandaoni ...Au nikupe cha jamaa mmoja alitaka kuleta utapeli wake na hana lolote.
 
Kuna jamaa Yuko Instagram pia anaitwa Ibrahim inano,huyo dogo anauza bot na Jana nimekutana na dogo Mmoja analo nimeliona kwenye laptop ya dogo kwa kweli Hilo bot ni genuine kabisa nimekaa na jamaa ana trade deriv v 75 kwa muda wa kama masaa 6 hivi bot limetoa Dola 30 mpaka Dola 120 huku Mimi naona sema linahitaji uwe unafatilia Kuna muda Fulani linakwenda against na trend au linaweza likawa Linafungua tu order nyingi kadiri unavyomake profit so lazima uwepo unalizima na kuwasha pale unapoona Lina kwenda tofauti au unapoona faida inatosha,kifupi ni kuwa pamoja na kutumia bot ni lazima forex uijue pia
Anauza how much na anapatikana wapi?
 
Hamna shida mkuu hilo Bot lako we tumia mwenyewe tu, mimi sihitaji Bot wacha nibaki na ujinga wangu. Na kama wewe una mpango wa kisaidia watu wafanikiwe ungeligawa bure tu. Au tumia mwenyewe tu uwe Bilionea baada ya muda mfupi
nlikua naweka tu records straight, amna sehem nmeongelea trading humu jamii forum! kwahio baki kwenye lane
 
linked in, quora na huo ujinga mwingine ndio your sources of these bogus information? Really? Kumbe napoteza muda wangu hapa, kwa hiyo kule WallStreet,Nasdaq, NYSE wanatumia Bots au sio??🤣🤣

kwahio linkedn ni ujinga si ndio 😂 😂 😂 , kwahio tuseme wewe una akili kuliko linkedn, quora! ngoja nkuongezee na zingine maaana wewe una akili kuliko watu wote duniani: ngoja nnkuonyeshe live jinsi wall street wana trade maaana akili yako fupi


View: https://www.youtube.com/watch?v=mbWhKM77r0I&t=517s&pp=ygUVaW5zaWRlIGhmdCB3YWxsIHN0cmV0

View: https://www.youtube.com/watch?v=2u007Msq1qo&pp=ygUVaW5zaWRlIGhmdCB3YWxsIHN0cmV0

ukishamaliza leta maneno mengine
 
Back
Top Bottom