Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

2023 bado mnapiga !? Hao jamaa njaa kali imagine laki 5 anakula kona ....Acheni kufuatilia watu mitandaoni ...Au nikupe cha jamaa mmoja alitaka kuleta utapeli wake na hana lolote.
 
Anauza how much na anapatikana wapi?
 
Hamna shida mkuu hilo Bot lako we tumia mwenyewe tu, mimi sihitaji Bot wacha nibaki na ujinga wangu. Na kama wewe una mpango wa kisaidia watu wafanikiwe ungeligawa bure tu. Au tumia mwenyewe tu uwe Bilionea baada ya muda mfupi
nlikua naweka tu records straight, amna sehem nmeongelea trading humu jamii forum! kwahio baki kwenye lane
 
linked in, quora na huo ujinga mwingine ndio your sources of these bogus information? Really? Kumbe napoteza muda wangu hapa, kwa hiyo kule WallStreet,Nasdaq, NYSE wanatumia Bots au sio??🀣🀣

kwahio linkedn ni ujinga si ndio πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , kwahio tuseme wewe una akili kuliko linkedn, quora! ngoja nkuongezee na zingine maaana wewe una akili kuliko watu wote duniani: ngoja nnkuonyeshe live jinsi wall street wana trade maaana akili yako fupi


View: https://www.youtube.com/watch?v=mbWhKM77r0I&t=517s&pp=ygUVaW5zaWRlIGhmdCB3YWxsIHN0cmV0
View: https://www.youtube.com/watch?v=2u007Msq1qo&pp=ygUVaW5zaWRlIGhmdCB3YWxsIHN0cmV0
ukishamaliza leta maneno mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…