Mkurugenzi mpya wa NEC, Charles Wilson Mahera, ni top CCM ndani ya NEC. Huu mchezo haulisaidii Taifa letu.
Dk. Wilson Mahera Charles aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi wa NEC mwaka 2019 ni mwanachama wa CCM, aligombea ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM (NEC) kutoka Musoma. Pia ni kati ya DEDs walioorodheshwa Mahakamani kama DEDs ambao ni wanachama wa CCM katika kesi ya kupinga DEDs kusimamia uchaguzi.
Kwa nini MAGUFULI anaharubu nchi yetu iliyojengwa kwa misingi ya upendo, umaja na amani na waasisi wetu akina Julius Nyerere na Karume kwa ajili ya KUNG'ANGANIA IKULU?
Dr Wilson Charles Mahera is TOXIC hawezi kuwa MWAMUZI kwa vile ana MASILAHI na CCM. Hii ni against principle ya NEMO JUDEX EN CAUSA SUA