Uchaguzi 2020 Noel Msigwa: Tume ya Taifa ya Uchaguzi mlishampanga mshindi wa kiti cha Urais?

Why not? Nyie si mnaonea na kuwachomea ofisi na kuwavua uwakili mawakili wa tz sasa tutatetewa na nani?
Sasa mtu unajiita wakili msomi alafu unavuliwa uwakili kindezi tu, huo usomi wako ni kwenye social media tu
 
CCM wanasema watashinda kwa kishindo, wamefanya na utafiti wakaona uchaguzi ungefanyika jtano iliyopita wangeshinda kwa asilimia 89%. Sasa hawa wanatoa na takwimu kabisa, tume hailioni hilo? Tume acha siasa ziendelee.
Magufuli hawezi kupata 30% ya kura za uchaguzi wa October 28, 2020.

Tunajuwa Polisi ni ya kwake, Ma DED ni wa kwake na Mkurugenzi wa NEC Mahera ni wake lakini tutamshangaza. Wakimtangaza tu tutamtoa Ikulu kama Laurent Bagbo wa Ivory Coast alivyotolewa na nguvu ya umma.
 
Kaj
 
Kuendelea kulialia bila kuchukua hatua ni kazi bure.
Ni muda Sasa wajuzi wa sheria kuchukua wajibu wa kumburuza mkurugenzi wa NEC mahakamani.

Kusubiri uovu utokee ndio tudai haki ni kumiss the target.

Mchezo huko wazi kabisaa,kwa uhuni huu, inabidi uwe mhuni zaidi yao. Nothing more, nothing less
 
Kuendelea kulialia bila kuchukua hatua ni kazi bure.
Ni muda Sasa wajuzi wa sheria kuchukua wajibu wa kumburuza mkurugenzi wa NEC mahakamani.

Kusubiri uovu utokee ndio tudai haki ni kumiss the target.

Mchezo huko wazi kabisaa,kwa uhuni huu, inabidi uwe mhuni zaidi yao. Nothing more, nothing less
 
Tume ya taifa naishangaa Sana,hivi Kuna mgombea anayeweza sema atashindwa uchaguzi? Kila mgombea huwa anasema atashinda
 

Tume wajue pasi na shaka kuwa wakiingilia (wako interrupt) kampeni za Lissu watakuwa wameamua kuanzisha vurugu.

Magufuli mara ngapi kasema atashinda uchaguzi? Mara ngapi kasema upinzani hawatashinda uchaguzi?

Yaonyesha hawa bila ya kukinukisha somo haieleweki!
 
Kwa hiyo kaitwa kwasababu kasema atashinda? Wote tumemsikia Dk. Mahela hivyo usituletee uongo wako humu. Kamati za maadili zimewekwa kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi kufanya kazi hiyo. Mtulie Lissu akatoe ushahidi wa aliyosema Musoma.
Alisemaje hebu tukumbushe, ukimaliza tukumbushe pia kauli za mgombea wenu akiwa Magu za kuwatisha wapiga kura, za kutoa rushwa kule Nyehunge, Uvinza na Itigi halafu umalizie kwa kutukumbusha yeye tarehe yake pale tume ya maadili imepangwa lini.
 
Hii siyo tume ya uchaguzi ni tume ya kuwakandamiza wapinzani. Tume imesahau kuwa mgombea wa ccm alipokuwa kigoma alitasema kuwa yeye ndio mshindi wa uchaguzi huu, je tume imechukua hatua gani? Hii tume inaenda kusababisha vurugu kwenye nchi yetu
Hivi ukivuna mahindi kinachobaki kimelala ama simama kinaitwaje vile
 
Alisemaje hebu tukumbushe, ukimaliza tukumbushe pia kauli za mgombea wenu akiwa Magu za kuwatisha wapiga kura, za kutoa rushwa kule Nyehunge, Uvinza na Itigi halafu umalizie kwa kutukumbusha yeye tarehe yake pale tume ya maadili imepangwa lini.
Asante kumweleza naona alisahau
 
Sasa mtu unajiita wakili msomi alafu unavuliwa uwakili kindezi tu, huo usomi wako ni kwenye social media tu
Why not? Nyie si mnaonea na kuwachomea ofisi na kuwavua uwakili mawakili wa tz sasa tutatetewa na nani?
 
Wala huhitaji tochi kugundua Tume chini ya Mahera wanavuruga uchaguzi, cha muhimu ni kukusanya vielelezo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…