nokia 6700

nokia 6700

kisukari

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2010
Posts
4,603
Reaction score
4,119
Samahani nilikuwa nauliza,simu ya nokia 6700 tanzania inauzwa bei gani?nimenunua hizo simu from u.k,ila nilikuwa napenda kujua bei ya tz,ili na mimi nikiuza nisiwagonge sana au nisije uza kwa hasara,kwani wateja wengine kabla hawajanunua,wanaenda dukani kuangalia bei,na mimi kwa sasa sipo tz
 
Back
Top Bottom