Nokia imebadili mwonekano wa logo yake

Nokia imebadili mwonekano wa logo yake

Apollo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2011
Posts
4,920
Reaction score
3,240
Android 14 attery copy.jpg


Kampuni ya Nokia imefanya mabadiliko ya mwonekano wa logo yake. Design ya logo ambayo imekuwa ikitumika tangu mwaka 1966, japo ilikuwa inabadilika kodogo (mwaka 1992, 2006 na 2011); kampuni ya Logo imeamua kuweka logo mpya kabisa ambayo ni tofauti na logo yake ya kawaida.

Nokia ipo katika hatua za kubadili brand yake kabisa, na kuweka usasa na style mpya ambayo itakuwa ni ishara ya kuamua kubadilika. Mkurugenzi Mtendaji Pekka Lundmark amesema Nokia ni kampuni ambayo ina mafanikio makubwa na chap mpya ni ishara ya kutangana mabadiliko makubwa na kwenda na ulimwengu wa kidigitali.


Unaonaje mwonekano wa logo mpya?

 
Suluhu wangebadili jina na logo maana tatizo la nokia ni kuwa wamepoteza trust kwa wateja wengi pale walipofail katika simu zao za Lumia na mfumo wao wa smbyian, ili kuteka soko la android os, ni lazima wabadili hivyo viwili.
 
HMD Global wameshafeli
  • Simu zao ziko overpriced mpaka unajiuliza unaanzaje kununua Nokia kwa bei kubwa wakati kuna simu kibao zina-offer better specifications kwa same price tag.
  • Software ya AndroidOne nayo inakera, bora hata angetengeneza software yake mwenyewe au angetumia hiyohiyo Stock Android halafu ai-modify iwe na Nokia style kama Motorola alivyofanya
  • Design nyingi za simu za Nokia nazo huvutia kwa mbele halafu nyuma ndio wanaboronga [emoji1751][emoji1751]
  • Hata chipset hawa jamaa wanapunja balaa. Unakuta simu ya laki 8 hadi milioni 1 anaweka Snapdragon 695
  • Tangu walipoacha kutengeneza flagships ndio wakaanza kwenda mwelekeo m'baya. Flagship zinasaidia kutangaza jina la kampuni, sasa wao walipotengeneza Nokia 9 Pureview wakaghairi kuendelea na flagships
 
hongera zao Kwa kufanya mabdiliko hayo na hasa kama yataakisi ubora ktk bidhaa zao, ushindani ni mkubwa sana Kwa Sasa ktk teknolojia ya mawasiliano ktk soko la dunia...
 
HMD Global wameshafeli
  • Simu zao ziko overpriced mpaka unajiuliza unaanzaje kununua Nokia kwa bei kubwa wakati kuna simu kibao zina-offer better specifications kwa same price tag.
  • Software ya AndroidOne nayo inakera, bora hata angetengeneza software yake mwenyewe au angetumia hiyohiyo Stock Android halafu ai-modify iwe na Nokia style kama Motorola alivyofanya
  • Design nyingi za simu za Nokia nazo huvutia kwa mbele halafu nyuma ndio wanaboronga [emoji1751][emoji1751]
  • Hata chipset hawa jamaa wanapunja balaa. Unakuta simu ya laki 8 hadi milioni 1 anaweka Snapdragon 695
  • Tangu walipoacha kutengeneza flagships ndio wakaanza kwenda mwelekeo m'baya. Flagship zinasaidia kutangaza jina la kampuni, sasa wao walipotengeneza Nokia 9 Pureview wakaghairi kuendelea na flagships
Ila iliyobadili logo ni Nokia Corporation sio HMD na Kwa mujibu WA CEO wao mabadiliko haya ni msisitizo kuwa Nokia sio tena kampuni ya uundaji simu Bali ni kampuni inayouza telecommunications equipments na cloud computing
 
Ila iliyobadili logo ni Nokia Corporation sio HMD na Kwa mujibu WA CEO wao mabadiliko haya ni msisitizo kuwa Nokia sio tena kampuni ya uundaji simu Bali ni kampuni inayouza telecommunications equipments na cloud computing
Hapo sawa. Nilifikiri ni HMD Global ndio wamebadilisha hiyo logo yao. Maana hizi Nokia za sikuhizi wameyumba
 
HMD Global wanatengeneza simu za Nokia, nikafikiri wamebadili logo kwenye simu zao.

Shule nilienda lakini hatukuwahi kufundishwa kuhusu logo za makampuni ya tech. Acha kuhusianisha mambo yasiyohusiana au umeandika ilimradi watu tukuone msomi.
Kampuni mbili tofauti.

Moja amepewa leseni ya kutengeneza simu za Nokia.

Nokia ndo wamesema wanabadili logo na sio HMD.
 
Back
Top Bottom