Tetesi: Noma..... EU Boost Kenya's Big 4 Agenda with a whooping Sh519B

Tetesi: Noma..... EU Boost Kenya's Big 4 Agenda with a whooping Sh519B

Kulipa deni kwenu ni shida ukweli mtaweza kopesheka? Sidanganyi nikisema wazi kuwa mshasamehewa madeni Mara mbili karne Hii lakini sisi we do not default on our payments hata kidogo. Yani sisi kuwa Middle Income inawatoa povu hivi na je tukiingia Industrialised(hapo ndipo tunaingia hivi karibuni) si mkitupata kwenu mtatutia kitanzi hapo hapo.
 
I am entertaining myself with idiots who write grammar like kisukuma. Aaw boy! There is never a dull moment here...... "We must knew"

Entertaining yourself Eh? i'll let you finish that.
 
yaani watz ni akili punguani tu...au sijui ni low IQ pengine..au kiingereza ndio kigumu....sasa loan and grants ni misaada tena? sijui mkuu MK254 ungefanya transalation maana hawa jamaa kiingereza huwa hakiambatani na ndimi zao kabisa....anyway, ni nani aliye na akili timamu anayeweza ku donate 5 billion dollars? hii ni pesa itakayolipwa na interest...sio msaada
1542153388249.png
1542153388249.png
finally, ieleweke kuwa hakuna nchi duniani iliowahi kuendelea bila kuchukua mikopo
 
Hongereni,,ila sasa Serikali yenu ijitahidi kuzitumia vizuri kulingana na malengo yaliyokusudiwa zisije ishia kwa walafi wachache..!
 
Have you all finish entertaining yourselves? Inaonyesha hiyo ndio kazi iliyobaki hadi kuandika kiswahili inakuwa shida.
ok pole wewe tunakuelewa.... si ndio yule uliyeshindwa kuelewa simple english statement "largest bureau outside UK"
1542172097164.png
1542172097164.png
pole mkubwa
1542172224266.png
 
Back
Top Bottom