noma sana

noma sana

medmill

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
5
Reaction score
0
hi washkaj wote wa jamii forrum nikijana mpya katika hii forrum
msijal sna jambo kubwa sana leo ninalotka kuwapatia .
ila nijinsigan navyotafuta kupata huduma fulan ndan ya hii forrum wameitaj nitupiae post kwahiyo ndo nafanya yangu
 
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh washkaj? una umri gani weye? unajua humu ni jinsia tofautitofauti na umri mchanganyiko?
 
hi washkaj wote wa jamii forrum nikijana mpya katika hii forrum
msijal sna jambo kubwa sana leo ninalotka kuwapatia .
ila nijinsigan navyotafuta kupata huduma fulan ndan ya hii forrum wameitaj nitupiae post kwahiyo ndo nafanya yangu

usijali, utaelimika tu pamoja na kua umehitimu elimu ya sekondari hivi karibuni
 
hi washkaj wote wa jamii forrum nikijana mpya katika hii forrum
msijal sna jambo kubwa sana leo ninalotka kuwapatia .
ila nijinsigan navyotafuta kupata huduma fulan ndan ya hii forrum wameitaj nitupiae post kwahiyo ndo nafanya yangu

sawa,lugha fasaha ni muhimu hapa jamvini,sna(sina) nikijana(ni kijana) forrum(forum) n.k pia usije kifacebook facebook,karibu.
 
Mbona hueleweki nimerudia kusoma lakini wapiiiii. Any way karibu vijana wa dot com kazi kweli kweli
 
Aisee yaani sijapata kitu unataka kusema nini
 
Back
Top Bottom