Nomaaaaaa

Nomaaaaaa

ogmhillu

Member
Joined
Jul 24, 2017
Posts
87
Reaction score
71
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia

Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom