Nondo za Luhaga Mpina, ndio maana Mzalendo namba moja hayati JPM alimkubali sana

Nondo za Luhaga Mpina, ndio maana Mzalendo namba moja hayati JPM alimkubali sana

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
"Tuna kiwanda cha Esther Bioscience Africa kinazalisha chanjo lakini chanjo nyingi tunaagiza nje ya nchi, tuna viwanda vya viuatilifu lakini bado viuatilifu tunaagiza nje ya nchi. Tukisema tunalinda viwanda kwa hapa tunavilindaje?" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa

20231108_160827.jpg
 
CCM hakuna mzalendo hivi unawezaje kuwaamini watu ambao,,, mkataba unasema ni wamilele halafu Yanapita mitaani yanasema ni makubaliano nosense halafu mnasema kuna mzalendo???mhhhh
 
Back
Top Bottom