dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
huwezi zuia kila kitu na iyo mipaka haifungwi kama chupa ya chai, waache wafiche na waugulie ndani kwa ndaniUkisema unaamini, maana yake ni kuwa una hakika na hicho wachokizungumza.
Tupe uhakika wako nasi tuweze kuamni kama wewe.