North Korea 'yasemekana' imefanya jaribio la kombora la balistiki lililolipukia angani

North Korea 'yasemekana' imefanya jaribio la kombora la balistiki lililolipukia angani

Jifunze kufanyia kazi hoja moja kwa wakati, Trump katokea wapi kwenye hii hoja au labda nikuulize, unajua Trump alikuwa na hoja gani kuhusu vita katika mataifa ya kigeni?
Kwanza rudi kwenye komenti yako kisha weka ushahidi wa ulichozungumza (jifunze kutoongea maneno matupu matupu, isipokuwa uyawekee ushahidi)

Pili US ndie mbeleko ya South Korea, hakuna South Korea kama US hatokuwepo. Hivyo jogoo akishindwa, usitegemee kifaranga wake kuweza
 
Jifunze kufanyia kazi hoja moja kwa wakati, Trump katokea wapi kwenye hii hoja au labda nikuulize, unajua Trump alikuwa na hoja gani kuhusu vita katika mataifa ya kigeni?
Wewe endelea kubwabwaja ila USA pamoja na NATO akiwemo Trump inajulikana dunia nzima kwamba walimshindwa kiduku walijaribu kumfanyia Clandestine Espionage kwa kutumia CIA FBI walichemka na walipojaribu vita ikashindikana walitumia biti zoote zikiwamo za NGWAIR na MCHIZI MOX hawakufua dafu.

Nakumbuka kuna mwaka enzi za trump SOUTH KOREA pamoja na USA walipiga jaramba la kijeshi na kusema wakimaliza wanamfata KIDUKU nae akawajibu akasema atakaegusa boundary ya bahari ya NORTH KOREA hata achwa salama na akarusha kombora lilienda juu km 500 kisha likachukua uelekeo na kutwanga km 5000 siku hiyo hiyo marekani na mshirika wake wakaondoka na kuahirisha mazoezi.

Wamepiga vikwazo vya aina zoote jamaa kama kawa anaendelea kupiga kiduku maji kwa sana fegi kama kawa na kila wakati kutest makombora daily. Kwa hiyo ukiongea yako kuisifia USA fanya hivyo ukiwa msumbiji, malawi uk but not in north korea or russia.
 
Kuna missile inamsumbua inaitwa Covid 19 hii kwakweli kama ingekuwa inaonekana basi ICBM za Pyongyang zingefanya kazi lakini Kiduku kanyoosha mikono juu asijue cha kufanya.
 
Back
Top Bottom