December 4 , 2018
Victoria Seychelles
CAF Confederation Cup 2018 :
Northern Dynamo vs Mtibwa Sugar
Mtibwa Sugar walivyowasili mjini Victoria ktk visiwa vya Seychelles bahari ya hindi.
Baada ya Mtibwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao manne kwa nunge dhidi ya Northern Dynamo nyumbani ktk viwanja vya Chamazi Complex jijini Dar-es-Salaam, Tanzania timu hiyo itaingia uwanjani kucheza mchezo wa pili wa marudiano hapa Seychelles.
Mchezo huo utafanyika leo December 4, 2018 ktk uwanja wa Stade de Linite wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 10,000 uliopo mjini mkuu wa Victoria , Seychelles.
Source : mtibwaofficial
Victoria Seychelles
CAF Confederation Cup 2018 :
Northern Dynamo vs Mtibwa Sugar
Mtibwa Sugar walivyowasili mjini Victoria ktk visiwa vya Seychelles bahari ya hindi.
Baada ya Mtibwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao manne kwa nunge dhidi ya Northern Dynamo nyumbani ktk viwanja vya Chamazi Complex jijini Dar-es-Salaam, Tanzania timu hiyo itaingia uwanjani kucheza mchezo wa pili wa marudiano hapa Seychelles.
Mchezo huo utafanyika leo December 4, 2018 ktk uwanja wa Stade de Linite wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 10,000 uliopo mjini mkuu wa Victoria , Seychelles.
Source : mtibwaofficial