(Not My king, anti-monarchy) Je, Ufalme wa Uingereza upo matatani?

(Not My king, anti-monarchy) Je, Ufalme wa Uingereza upo matatani?

Kura nyingi za maoni zinaonyesha wastani wa asilimia 25% tu ya raia wa Uingereza ndio ambao wangetaka Ufalme huo uondolewe na kufutwa kabisa, wengine wote wanapenda uendele kuwepo.

Ufalme wa Uingereza ni ceremonial tu kama kumbukumbu na wengi wanaichukulia kama kiunganishi kama taasisi iliyoanzisha taifa lao. Kwa sasa Ufalme huo hauna athari zozote katika miasha ya raia wa Uingereza.
Hawajawahi kukutaa kusaini sheria yeyote iliyopitishwa na bunge, hawajwahi kumkataa waziri mkuu yeyote aliyeidhinishwa na bunge.

Jeshi linamtambua mfalme/malkia kama mkuu wao lakini mamlaka kamili ya jeshi na amri ni kutoka kwa waziri wa ulinzi, waziri mkuu na bunge.

Ufalme unapewa pesa ila ni kidogo sana kiasi kwamba walipa kodi wengi hawawezi kujali. Uingereza huwa inatumia karibu poundi billion 10 kwa mwaka katika misaada wakati inatenga paundi million100 tu kwa ufalme. Waingereza wakiona kodi zao zinatumika vibaya wataanza kwanza kudai kusitishwa kwa misaada kabla ya ufalme.
 
Ufalme umejikita katika mfumo wa kurithi wao wanatazama kama ni kinyume na democracy.

Wanataka mfumo utako wapa Uhuru raia wa Uingereza kuchagua kiongozi wa nchi tofauti na sasa hali ya kurithishana.

Pia kupitia maoni ya baadhi ya wanao kataa mfumo wa ufalme Uingereza ni vijana wanao tazama hali hiyo kama ukale pia hali ya fedha zao kutumika kuwahudumia watu ambao hawaja wachagua ina onekana kuwa kero kwao.

Hayo ni baadhi japo zipo kero ndogo ndogo.
 
Kura nyingi za maoni zinaonyesha wastani wa asilimia 25% tu ya raia wa Uingereza ndio ambao wangetaka Ufalme huo uondolewe na kufutwa kabisa, wengine wote wanapenda uendele kuwepo.
Upo sawa. Hata hapo mwisho Reuters wamejaribu kufafanua kuwa sio kuwa majority ya raia wa Uingereza wanataka mfumo wa ufalme ufutwe hapana lakini kadiri miaka inavyo enda support ya monarchy kwa raia wa Uingereza wengi inapungua hasa kwa kundi kubwa la vijana.
 
Ufalme umejikita katika mfumo wa kurithi wao wanatazama kama ni kinyume na democracy.

Wanataka mfumo utako wapa Uhuru raia wa Uingereza kuchagua kiongozi wa nchi tofauti na sasa hali ya kurithishana.

Pia kupitia maoni ya baadhi ya wanao kataa mfumo wa ufalme Uingereza ni vijana wanao tazama hali hiyo kama ukale pia hali ya fedha zao kutumika kuwahudumia watu ambao hawaja wachagua ina onekana kuwa kero kwao.

Hayo ni baadhi japo zipo kero ndogo ndogo.
Malalamiko yote ya wapinga ufalme wa Uingereza ni kero ndogo ndogo tu kwa sasa.
Hakuna hoja ya msingi na wako wachache kuweza kusikilizwa kwa sasa, ni robo to ya Waingereza wote. Huenda wakiongezeka na kuonyesha hoja zenye mashiko na umuhimu mkubwa watasikilizwa. Hakuna Muingireza anayedai hakuna demokrasia Uingereza.
 
Kura nyingi za maoni zinaonyesha wastani wa asilimia 25% tu ya raia wa Uingereza ndio ambao wangetaka Ufalme huo uondolewe na kufutwa kabisa, wengine wote wanapenda uendele kuwepo.

Ufalme wa Uingereza ni ceremonial tu kama kumbukumbu na wengi wanaichukulia kama kiunganishi kama taasisi iliyoanzisha taifa lao. Kwa sasa Ufalme huo hauna athari zozote katika miasha ya raia wa Uingereza.
Hawajawahi kukutaa kusaini sheria yeyote iliyopitishwa na bunge, hawajwahi kumkataa waziri mkuu yeyote aliyeidhinishwa na bunge.
Jeshi linamtambua mfalme/malkia kama mkuu wao lakini mamlaka kamili ya jeshi na amri ni kutoka kwa waziri wa ulinzi, waziri mkuu na bunge.

Ufalme unapewa pesa ila ni kidogo sana kiasi kwamba walipa kodi wengi hawawezi kujali. Uingereza huwa inatumia karibu poundi billion 10 kwa mwaka katika misaada wakati inatenga paundi million100 tu kwa ufalme. Waingereza wakiona kodi zao zinatumika vibaya wataanza kwanza kudai kusitishwa kwa misaada kabla ya ufalme.
Haya hapa maelezo na malalamiko yao unaweza kuyapitia kwa kina

Republic Why we protest​


IMG_0058.jpg

This great country of ours is full of creativity, potential and possibility. The problems we face can mostly be traced back to our flawed political system, one that puts too much power in the hands of too few.
The campaign for a republic is about democratic reform, democratic principles and ridding the country of an institution that serves itself and those in power - the few, not the many.
Most people in the UK believe in democratic values and the importance of democracy in creating a prosperous and fair society. These principles and values matter. So our national institutions should reflect and celebrate those values, and live up to the highest standards of openness and accountability.
shutterstock_112369760.jpg

The monarchy stands firmly against these principles, instead representing exclusion, elitism and hereditary power and privilege at the expense of everyone else. It forces us to compromise our commitment to democracy to make room for this feudal institution. On a point of principle alone the monarchy should be abolished.
There are no good reasons for keeping the monarchy. Claims that it delivers stability or economic benefits are wrong. Yet the monarchy fails us in so many ways. Not least, it is a corrupt institution. The royals spend public money - your money - on their own travel, palatial homes and luxurious lifestyles every day of the year. The institution costs us at least £345m a year, money that should be spent on public services.
The monarchy is secretive and they demand - and get - exemptions from hundreds of laws, including environmental protection regulations and race discrimination laws.
The case against the monarchy is much more than an argument against the royals. The monarchy stops us having an effective, independent head of state. The monarch will always do what he's told by the government. The Crown puts enormous power into the hands of the government, at the expense of parliament and the people.
william_and_kate_landrover.jpg

What we want is simple: a more democratic Britain. A political system where we elect our head of state and all our parliamentarians - so no Lords! - and where everyone's interests can be championed by people with real power. That means shifting power from government to parliament and parliament to people, having a written constitution that sets out what those powers will be and an independent head of state to ensure the rules are followed.
In other words, we want to take what we have and make it better, more democratic, top to bottom with no room for hereditary titles and positions.
A parliamentary republic is a successful and tested model. Just look at places like Ireland, Iceland, Germany and many other countries around Europe. And so often they get to choose great heads of state, like Michael D Higgins in Ireland.
Britain is an amazing place, full of talent and promise. We're being let down by our political system. We should be more ambitious about the reform we need.

It's time to ditch the monarchy, embrace democracy and become a republic​

 
Upo sawa. Hata hapo mwisho Reuters wamejaribu kufafanua kuwa sio kuwa majority ya raia wa Uingereza wanataka mfumo wa ufalme ufutwe hapana lakini kadiri miaka inavyo enda support ya monarchy kwa raia wa Uingereza wengi inapungua hasa kwa kundi kubwa la vijana.
Support inaweza kupungua lakini wasijali sana uwepo wake kwa sababu hauna athari zozote za kimsingi kwao kisiasa au kiuchumi.

Taarifa zinazosikika zaidi za Ufalme wa Uingereza nyakati hizi ni ule umbea wa familia hiyo unaopendwa na vyombo vya habari Uingereza na kote duniani.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Malalamiko yote ya wapinga ufalme wa Uingereza ni kero ndogo ndogo tu kwa sasa.
Hakuna hoja ya msingi na wako wachache kuweza kusikilizwa kwa sasa, ni robo to ya Waingereza wote. Huenda wakiongezeka na kuonyesha hoja zenye mashiko na umuhimu mkubwa watasikilizwa. Hakuna Muingireza anayedai hakuna demokrasia Uingereza.
Hii kitu sio athari kwa sasa ila hata hio 25% zamani haikuwepo,,,, miaka inavyozidi kwenda wanaopingana na ufalme wanaongezeka shida ndo iko hapo,, maana kwa waingereza huo ufalme ulikua kama ni ufahari fulani kwao ila kwa sasa hasa kwa vijana ufalme unapoteza mvuto
 
Haya hapa maelezo na malalamiko yao unaweza kuyapitia kwa kina

Republic Why we protest​


IMG_0058.jpg

This great country of ours is full of creativity, potential and possibility. The problems we face can mostly be traced back to our flawed political system, one that puts too much power in the hands of too few.
The campaign for a republic is about democratic reform, democratic principles and ridding the country of an institution that serves itself and those in power - the few, not the many.
Most people in the UK believe in democratic values and the importance of democracy in creating a prosperous and fair society. These principles and values matter. So our national institutions should reflect and celebrate those values, and live up to the highest standards of openness and accountability.
shutterstock_112369760.jpg

The monarchy stands firmly against these principles, instead representing exclusion, elitism and hereditary power and privilege at the expense of everyone else. It forces us to compromise our commitment to democracy to make room for this feudal institution. On a point of principle alone the monarchy should be abolished.
There are no good reasons for keeping the monarchy. Claims that it delivers stability or economic benefits are wrong. Yet the monarchy fails us in so many ways. Not least, it is a corrupt institution. The royals spend public money - your money - on their own travel, palatial homes and luxurious lifestyles every day of the year. The institution costs us at least £345m a year, money that should be spent on public services.
The monarchy is secretive and they demand - and get - exemptions from hundreds of laws, including environmental protection regulations and race discrimination laws.
The case against the monarchy is much more than an argument against the royals. The monarchy stops us having an effective, independent head of state. The monarch will always do what he's told by the government. The Crown puts enormous power into the hands of the government, at the expense of parliament and the people.
william_and_kate_landrover.jpg

What we want is simple: a more democratic Britain. A political system where we elect our head of state and all our parliamentarians - so no Lords! - and where everyone's interests can be championed by people with real power. That means shifting power from government to parliament and parliament to people, having a written constitution that sets out what those powers will be and an independent head of state to ensure the rules are followed.
In other words, we want to take what we have and make it better, more democratic, top to bottom with no room for hereditary titles and positions.
A parliamentary republic is a successful and tested model. Just look at places like Ireland, Iceland, Germany and many other countries around Europe. And so often they get to choose great heads of state, like Michael D Higgins in Ireland.
Britain is an amazing place, full of talent and promise. We're being let down by our political system. We should be more ambitious about the reform we need.

It's time to ditch the monarchy, embrace democracy and become a republic​

75% ya raia wenzao wa Uingereza hawana maoni au malalamiko hayo. Wao wanaupenda na bado wanataka kuuuona ufalme ukiendelea kuwepo. Wahamiaji wanaokimbilia Uingereza kwa sababu za kisiasa na kiuchumi hawana maoni hayo.
Wawekezaji na wakopaji wanaoitazama London kama financial centre ya Ulaya hawana maoni hayo. Watu wanaokimbilia kusoma LSE, Oxford, Cambridge n.k hawana maoni hayo au mtazamo huo. Warusi, Wamarekani, Wachina na Waarabu wanaogombania timu zao za mpira hawana maoni hayo. Makundi haya yote na mengineyo Uingereza bado ni nchi yenye potential kubwa sana na ya kuvutia.
 
Unemployment problems zinazoendelea China mpaka Xi ameamuru wasomi waelekezwe kwenye country sides kufanya shughuli za shamba.
Wengine wanasukumiwa huku kutupunguza kidogokidogo kwakuwa wanajua kwao hapatoshi
 
Unemployment problems zinazoendelea China mpaka Xi ameamuru wasomi waelekezwe kwenye country sides kufanya shughuli za shamba.
Wengine wanasukumiwa huku kutupunguza kidogokidogo kwakuwa wanajua kwao hapatoshi
 
75% ya raia wenzao wa Uingereza hawana maoni au malalamiko hayo. Wao wanaupenda na bado wanataka kuuuona ufalme ukiendelea kuwepo. Wahamiaji wanaokimbilia Uingereza kwa sababu za kisiasa na kiuchumi hawana maoni hayo.
Wawekezaji na wakopaji wanaoitazama London kama financial centre ya Ulaya hawana maoni hayo. Watu wanaokimbilia kusoma LSE, Oxford, Cambridge n.k hawana maoni hayo au mtazamo huo. Warusi, Wamarekani, Wachina na Waarabu wanaogombania timu zao za mpira hawana maoni hayo. Makundi haya yote na mengineyo Uingereza bado ni nchi yenye potential kubwa sana na ya kuvutia.
Vipi kuhusu uhai wa ufalme wa Uingereza kwa miaka mingi ijayo kama hili kundi litazidi kutanuka na kuongeza wafuasi miongoni mwa raia wa Uingereza ?
 
Hii kitu sio athari kwa sasa ila hata hio 25% zamani haikuwepo,,,, miaka inavyozidi kwenda wanaopingana na ufalme wanaongezeka shida ndo iko hapo,, maana kwa waingereza huo ufalme ulikua kama ni ufahari fulani kwao ila kwa sasa hasa kwa vijana ufalme unapoteza mvuto
Umefafanua vizuri hili suala kwa kutazama kale, sasa na kwa nyakati zijazo
 
Ufalme ni utawala wa kijima inasikitisha nchi kama uingereza ambayo imepiga hatua ki maendeleo ya uchumi na teknolojia kuendeleza ujima wa kisiasa
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Ufalme ni utawala wa kijima inasikitisha nchi kama uingereza ambayo imepiga hatua ki maendeleo ya uchumi na teknolojia kuendeleza ujima wa kisiasa
Hii ni miongoni mwa sababu inayopelekea vijana wengi wa kiingereza kuto kuuzingatia ufalme na kutaka kukoma
 
Why unaniwekeaa condition?

Why Unaingilia uhuru wangu wa kujieleza na kutoa maoni..?

This is not a Chinese social media, huku watu tuna uhuru wa kujieleza, na kuzungumza chochote.
Wee ni kiazi sana anzisha Uzi unaousiana na CCP watu watatoa maoni yao na vile wanavyoona watu wanaleta Uzi wa jambo jingine wewe unazungumzia mengine useless kabisa
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Vipi kuhusu uhai wa ufalme wa Uingereza kwa miaka mingi ijayo kama hili kundi litazidi kutanuka na kuongeza wafuasi miongoni mwa raia wa Uingereza ?
Hilo kundi litahitaji lipate wanaharakati, wanahabari na wanasiasa wengi na mashuhuri kama lile la Brexit ili liweze kusikilizwa na kutiliwa maanani.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Kuna ukweli wowote kuhusu hiyo familia ya kifalme ni tajiri sana.
Sasa hapo kwenye hao wanaowapinga kusema wanatumia rasilimali za nchi sijaelewa!! Au kwenye bajeti ya serikali ya huko kuna fungu linatengwa kwa ajili ya matumizi ya ufalme??
Uingereza Ina bajeti ya kuilisha familia ya kifalme
 
Ufalme uliwahi kuondolewa Uingereza karne ya 17 kwa kipindi karibu cha miaka 10 ikaongozwa na mtu anayeitwa Oliver Cromwell, baadaye bunge likaurudisha tena.
Kikundi cha wapinga Ufalme kimekuwepo enzi na enzi Uingereza.
Hii kitu sio athari kwa sasa ila hata hio 25% zamani haikuwepo,,,, miaka inavyozidi kwenda wanaopingana na ufalme wanaongezeka shida ndo iko hapo,, maana kwa waingereza huo ufalme ulikua kama ni ufahari fulani kwao ila kwa sasa hasa kwa vijana ufalme unapoteza mvuto
 
Ufalme uliwahi kuondolewa Uingereza karne ya 17 kwa kipindi karibu cha miaka 10 ikaongozwa na mtu anayeitwa Oliver Cromwell, baadaye bunge likaurudisha tena.
Kikundi cha wapinga Ufalme kimekuwepo enzi na enzi Uingereza.
Soma sababu nzima ya kuutoa ufalme na kwanini ulirudi, na huyo jamaa alishikilia nchi kama protectorate tu akijua ufalme utarudi, ni kama Tanganyika ilipopewa kwa Muingereza baada mjerumani kushindwa vita, alipewa nchi aiandae kwa uhuru baas..... Na sababu za hao jamaa zilikua kidini zaidi kuliko upepo ulivyo sasa, na huyo jamaa alikua kwenye kundi la wanaotaka ufalme wa kikatiba na sio "absolute monarchy" . Kwahio jamaa hakupinga ufalme bali alipinga aina ya ufalme
_20230507_174956.JPG
 
Back
Top Bottom