Not secured=no loan

mkisyeli

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
260
Reaction score
76
jaman hii ndiyo habari ya bodi ya mkopo sasa...kama unajua umeandikiwa ''not secured means...no loan''...haya imekula kwetu
Nipo bodi hapa na watu ni wengi na sioni mustakabali wowote
 
hapo nini hakieleweki sasa!! not secured means no loan"
mkuu hata mimi sijaelewa,
mleta uzi alitakiwa aeleze,alipokuta ameandikiwa hivyo alipewa ufafanuzi gani
wa sentesi hiyo,ili ajue kwa nini amekosa mkopo.
Kwa mfano mimi najiuliza hivi
walioqualify namaanisha walioandikiwa secured wametimiza vigezo gani?
Ambao hawakuqualify wamepungukiwa na nini?
Lengo la kuandika uzi unaojitosheleza ni kutoa taarifa sahihi kwa wana jf
ili kama kuna samaki wanene wa kutatua tatizo hilo watusaidie maana suala la mikopo si dogo,linagusa watoto na wazazi wao pia.
Naamini jf ni kama msitu mnene ambao una wanyama wakubwa na wadogo,na wote huishi kwa kutegemeana
kwa njia moja au nyingine
Hivyo nashauri waleta nyuzi wajitahidi kutoa ufafanuzi mzuri ili kuwarahisishia wachangiaji kuchangia.
ni hayo tu
 
Its a sad news to me,nani wa kuokoa kizazi hiki jamani?! Sisi ni watoto wa maskini na ndio tunaokandamizwa,kuonewa na kunyanyaswa katika haki zetu.
Hakika nawaambieni ndugu zangu wote tusikate tamaa katika mapambano na maisha.
Itafika siku na ukweli wote utajulikana.
"the future belongs to those who prepare it for today"
 
kaka na wewe umeondoka pale umeridhika na majibu uliyopewa wala hujatoa chozi....!??hivi tutakubali kuonewa mpka lini na vipi kuhisu kuappeal..!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…