Nothing Phone

starlightz

Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
44
Reaction score
116
Je unahisi hii kamouni mya ya Nothing tech waliotengeneza simu mpya inayo itwa nothing phone kwa mantiki ya kuondoa kikwazo kati ya watumuaji na tecknolojia , je unahisi itazipiku giant kampani za simu kama Apple, Samsung, Xiaomi na Huawei ?
 
wanasema mafanikio huja baada ya kupenda unachokifanya.

nothing company ni kampuni kutoka 1plus.
mwaka jana alitoa buds zake kwa bei nusu ya zile za apple ila ubora mzuri tu,kisha mwaka huu simu hiyo hapo.

kama kampuni haijajipanga inataka kufukuzana na faida ili ijiendeshe itaangukia pua,kama inataka itengeneze jina kwanza,amini usiamini itakuja kupenya tu sokoni siku moja.
 
One plus na Gogle pixel ni bonge la simu sema bei imechangamka
 
Je unahisi hii kamouni mya ya Nothing tech waliotengeneza simu mpya inayo itwa nothing phone kwa mantiki ya kuondoa kikwazo kati ya watumuaji na tecknolojia , je unahisi itazipiku giant kampani za simu kama Apple, Samsung, Xiaomi na Huawei ?
Hawana uwezo huo wa kuwapiku, watu kama hawa huwa wanaanzisha startup then baadae wanauza.

Muanzilishi wa Nothing ndo huyo huyo wa Oneplus.
 
Hii simu ina high price nimeona bongo inaenda adi 1.4m and bad enough haiko kwenye simu zitakazopokea update mpya ya android so wamiliki watakua wanapata update za kawaida kama security patch na zile za interface
 
kilicho wavutia watu zaidi ni ile staili ya Led lights ambazo zina waka nyuma ya simu kulingana na Alerts, rightones n.k na pia ile clear case ya simu inaonyesha muonekano fulani wa tofauti na any other phones
 
Hawana uwezo huo wa kuwapiku, watu kama hawa huwa wanaanzisha startup then baadae wanauza.

Muanzilishi wa Nothing ndo huyo huyo wa Oneplus.

Chief
Google pixel 6 nipe dondoo kidogo nataka niijaribu

Nimetumie 13 pro kwa muda nimeichoka nataka nirudi Android ila niingie google pixel ushauri tafadhali
 
Chief
Google pixel 6 nipe dondoo kidogo nataka niijaribu

Nimetumie 13 pro kwa muda nimeichoka nataka nirudi Android ila niingie google pixel ushauri tafadhali
Mkuu pixel 6 zina mixed reviews nyingi sana kama kawaida pixel utapata camera nzuri, clean android, updates za uhakika na optimization nyengine za google.

Ila ukaaji chaji ni average, simu inapata joto kama una matumizi makubwa sana,

Hivyo angalia matumizi yako kama inakufaa.
 
Hii simu ina high price nimeona bongo inaenda adi 1.4m and bad enough haiko kwenye simu zitakazopokea update mpya ya android so wamiliki watakua wanapata update za kawaida kama security patch na zile za interface
Android updates zitapokea sema Carl Pei amesema they dont rush to push updates kwa mwaka huu so watazipa android 13 mapema mwaka 2023
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…