Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Noti mpya zazua balaa
Ubora wa noti mpya zilizoanza kutumika mwanzoni mwa mwaka huu unatia shaka, baada ya kubainika kuwa baadhi yake zinachuja na kuacha rangi zikilowa maji au jasho.
Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi Jumapili umebaini kuwa noti hizo hasa za Sh 5,000 na 10,000 zikikandamizwa au kusuguliwa kwenye karatasi nyeupe hata bila ya kuloweshwa maji au jasho, huacha rangi.
Hali hii imesababisha baadhi ya watu kutilia shaka ubora wake huku wasomi wakitaka serikalki kuwa makini kwa kuwa inaweza kupata hasara kubwa….
…….Ili kuthibitisa malalmiko hayo, Mwananchi Jumapili ilichukuwa noti ya Sh 5,000 na kuisugua kwenye karatasi nyeupe ikaacha rangi ya bluu…..
Habari zaidi katika Mwananchi Jumapili.
Ubora wa noti mpya zilizoanza kutumika mwanzoni mwa mwaka huu unatia shaka, baada ya kubainika kuwa baadhi yake zinachuja na kuacha rangi zikilowa maji au jasho.
Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi Jumapili umebaini kuwa noti hizo hasa za Sh 5,000 na 10,000 zikikandamizwa au kusuguliwa kwenye karatasi nyeupe hata bila ya kuloweshwa maji au jasho, huacha rangi.
Hali hii imesababisha baadhi ya watu kutilia shaka ubora wake huku wasomi wakitaka serikalki kuwa makini kwa kuwa inaweza kupata hasara kubwa….
…….Ili kuthibitisa malalmiko hayo, Mwananchi Jumapili ilichukuwa noti ya Sh 5,000 na kuisugua kwenye karatasi nyeupe ikaacha rangi ya bluu…..
Habari zaidi katika Mwananchi Jumapili.