Wandugu,
Tumepigwa tena kwa style tofauti.... Tumepiga kelele wee kwenye issue ya Dowans tumesahau kuziba mianya mingine... Watu wanarudisha gharama zao za uchaguzi.. Ndio zimeshachapishwa, makontena kwa makontena na waliochapishwa wameshalipwa.
Baadaye utasikia itabidi zirudiwe, unajua nini hapo " invoice nyingine''.... Mkianza kuhangaika na issue ya noti mpya, watu wanauza Dowans, kampuni nyingine wanalipwa wanasepa.... Yaani jamaa wamejipanga kila mahali hatuna pa kutokea...
Tatizo lipo moja tuu hakuna kuwajibishana kwa sheria.... Tungeweza kumuazima Kagame kwa muda tungeona yatakayotokea....
Mungu ibariki Tanzania