Noti mpya hazina ubora?

Wandugu, nimefikiria sana kuhusu hizi rangi toka kwenye noti mpya, nina uhakika zitakua zinabaki kwenye mikono kila ushikapo noti, inakuaje utakapo weka kidole chenye rangi jichoni au watoto watakaposhika noti na kula chakula bila kunawa mikono. Sio janga lingine hilo?
 

Pasco acha upotoshaji!!! hivi rangi inakuwaje mbichi kwenye karatasi kavu? Noti ikichujaa itabakiaje inang'aa? kuhusu kuchakachulika tayari police wamepokea taarifa za noti fake mpya za elfu 10.
 
Rangi zote zaweza kuwa na madhara kama zinatumika pasipo takiwa! Cha msingi ni kuchukua tahadhari na uzembe huu uliofanywa na viongozi wetu! Yan hata kwa macho tu zinaonekana zinachuja! kwanini huyu Mkulo na wenzake wasiwajibike! JK wawajibishe hawa watu, usisubiri maandano ili muue watu tena ! au wewe unaridhika na haya mambo ya hovyo!

Sijui JK ni mwana JF!! basi kama yupo msaidizi wake/au makachero mfikishieni ujumbe huu.
 

ingekuwa vizuri sana kama uwajibikaji ungeanza na yy. This is too much.
 
Hii ngoma ni filmee tupu! watu walisema tokea mwanzo, lakini kama kawaida, wadanganyika wakakaaa kimya!
 
!

Sijui JK ni mwana JF!! basi kama yupo msaidizi wake/au makachero mfikishieni ujumbe huu.

JK si mwana JF na huwa hapiti kabisa hapa! Hii ni kwa mujibu wa yeye mwenyewe alipokuwa akijibu swali langu!!
 
Ni kweli ubora wake ni mdogo,
Wahusika wanatakiwa kuangalia upya
Size is reasonable
 
Wakuu kaeni mkao wa kula, hili janga jipya ni tamu kuliko la Dowans, wenye tenda washalipwa siku nyingiiii ...
 
Hizo noti wanaandaa dili lingine la uchakachuaji!!! Kwanza too many colors mpaka zinaboa!!! Hawaoni hela za wenzetu kama US dolllar? iko simple haizidi rangi mbili then ni durable!! Inaudhi hawa wanaojidai wataalam wa kudesign sijui tunawatoa wapi?. Hii nchi inachezewa sana mtatua kwa presha!!
 

ATM ina AIRCONDITIONER....zitayayuka kwa ubaridi
 

Ndio Tanzania yetu......
 
If that proved right, gavana wa benk kuu na waziri wa fedha watuachie ofisi zetu za umma na hatua madhubuti zichukuliwe haraka kabla hatujaingia barabarani kuilazimisha serikali iondoke madarakani kwa kutumia nguvu ya umma coz tuko fed up tayari with lots of issues no seriousness
 

Pasco samahani kwa kutumia neno "upotoshaji"

Unavyosema walitumia rangi nyingi ili zipauke baadae una uhakika nalo? kwa hio wewe unanunuaga nguo inayochuja ili ije ipauke itulie kwenye brightness uliokuwa unaihitaji? wewe uliisikia au kuijua wapi hio tekinolojia. Je zilizopita ailikuwa the same? ni nchi gani nyingine duniani imekuwa ikutumia hio style?

Katika HIO attachment iliyotolewa na BOT hakuna sehemu wanayosema fedha zitachuja ili zije zi maintain baadae. Hayo nimeyasikia kwa mara ya kwanza kwako.
 

Attachments


Pasco,

Naomba uwatake radhi Wa-Tanzania;

Comments zako kwenye hiyo post ni completely mis-leading!

"..zililetwa rangi ikiwa bado mbichi..." That is very very very LOW!
 
Pasco,

Naomba uwatake radhi Wa-Tanzania;

Comments zako kwenye hiyo post ni completely mis-leading!

"..zililetwa rangi ikiwa bado mbichi..." That is very very very LOW!

Thanks for notting, Kuna maswali nimemuuliza nasubiri majibu yake ya kitaalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…