Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,053
- 615
Mimi si mtaalam wa uchumi, naomba kueleweshwa.
Ni muda sasa tangu noti mpya zimeingizwa kwenye mzunguko lakini za zamani bado zipo pia. Kwa maana hiyo kuna noti nyingi kwenye circulation. Hii haina athari kiuchumi?
Ni muda sasa tangu noti mpya zimeingizwa kwenye mzunguko lakini za zamani bado zipo pia. Kwa maana hiyo kuna noti nyingi kwenye circulation. Hii haina athari kiuchumi?