Noti za Tanzania zibadilihswe, tumezichoka

Noti za Tanzania zibadilihswe, tumezichoka

Wazo Kuu

Senior Member
Joined
Oct 21, 2018
Posts
114
Reaction score
295
Tunahitaji kubadilisha muonekano wa fedha zetu sasa, hizi zimesha chakaa na zimeshatuchosha.

Kwa miaka zaidi ya kumi tumekuwa na muonekano huo huo hii ni aibu ya taifa.
shilin-pic-data.jpg
zania Zinahitajika kubadilishwa
 
Noti ya elfu tano na elfu moja zinamvuto hasa zikiwa kwenye mabulungutu
 
Kama vipi tuachane na suala la cash. Tutumie digital currency tu. Ila tozo zipunguzwe kwa asilimia 90.
 
Tunahitaji kubadilisha muonekano wa fedha zetu sasa, hizi zimesha chakaa na zimeshatuchosha.

Kwa miaka zaidi ya kumi tumekuwa na muonekano huo huo hii ni aibu ya taifa.View attachment 2016460zania Zinahitajika kubadilishwa
Kwani zikibadilika zitaongeza nini hasa? Mimi nafikiri tungekuwa tunapigania shilingi yetu iongezeke thamani kuliko kung'ang'ania kubadilisha rangi au mwomekano wa noti/sarafu. Noti/sarafu hata zingekuwa na rangi/mwomekano mzuri kuzidi noti/sarafu za dunia nzima, kama thamani yake ni ndogo kulinganisha na $, € au £ itakuwa haina maana yoyote kwetu.
 
Sidhani kama ni busara kubadilisha noti za Tanzania sasa, ndani ya miaka mitatu ijayo tutashuhudia noti na sarafu za Jumuia ya Afrika Mashariki badala ya hizi za nchi moja moja. Noti chakavu zinapoingia benki yoyote hazipaswi kurudishwa kwenye mzunguko.
 
Ushawahi ona mwonekano wa USD ukiebadilika mara ngapi??
 
Tunahitaji kubadilisha muonekano wa fedha zetu sasa, hizi zimesha chakaa na zimeshatuchosha.

Kwa miaka zaidi ya kumi tumekuwa na muonekano huo huo hii ni aibu ya taifa.View attachment 2016460zania Zinahitajika kubadilishwa
Sio lazima kubadilisha rangi. Zitengenezwe kwa style ya nylon kwa mbali. Hata ukiisahau kwenye nguo na ukaifulia unazwez ukaikuta haijaalibika
 
Kubadilisha muonekano wa noti mara kwa mara ni upuuzi tu. Kinachotakiwa na kuboresha kidogo kidogo security features
 
Back
Top Bottom