Nouse maid & child trainer needed

Nouse maid & child trainer needed

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
571
Reaction score
156
Natafuta mfanyakazi wa kike mwenye uzoefu katika mapishi na anayeijua FOOD&NUTRITION vizuri (awe na cheti) pia awe na taaluma ya ku-train mtoto katika malezi (kumfundisha kazi mbalimbali, kumfundisha mtoto apende kujisomea, kuchora n.k).

Au ni nursery school gani nzuri Dar (inayoweza kumfanya mwanangu apende kujisomea, ajifunze kuchora, kuwa social, mchangamfu n.k), mimi niko mbali naye - huwa naonana naye kwa muda wa wiki moja au mbili tu then naachana naye kwa wiki 4 hadi 6.
 
Natafuta mfanyakazi wa kike mwenye uzoefu katika mapishi na anayeijua FOOD&NUTRITION vizuri (awe na cheti) pia awe na taaluma ya ku-train mtoto katika malezi (kumfundisha kazi mbalimbali, kumfundisha mtoto apende kujisomea, kuchora n.k).

Au ni nursery school gani nzuri Dar (inayoweza kumfanya mwanangu apende kujisomea, ajifunze kuchora, kuwa social, mchangamfu n.k), mimi niko mbali naye - huwa naonana naye kwa muda wa wiki moja au mbili tu then naachana naye kwa wiki 4 hadi 6.
Nouse = House! Duh, sorry!
 
Natafuta mfanyakazi wa kike mwenye uzoefu katika mapishi na anayeijua FOOD&NUTRITION vizuri (awe na cheti) pia awe na taaluma ya ku-train mtoto katika malezi (kumfundisha kazi mbalimbali, kumfundisha mtoto apende kujisomea, kuchora n.k).

Au ni nursery school gani nzuri Dar (inayoweza kumfanya mwanangu apende kujisomea, ajifunze kuchora, kuwa social, mchangamfu n.k), mimi niko mbali naye - huwa naonana naye kwa muda wa wiki moja au mbili tu then naachana naye kwa wiki 4 hadi 6.

Funguka zaidi mamaaake! Utamlipa shs ngapi?
Hapo atakapofanya kazi kuna watu wengine wanaishi? Au watakua waaili yeye mfanyakazi na mtoto tu?
Ni wapi hasa?, Dar? Moro? Tanga?
 
Back
Top Bottom