Unko T
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 200
- 266
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!
Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.
Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.
Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!
Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.
Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.
Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!