mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 898
Product gani wanatoa?.Wanaendekeza tu utamaduni wa kuzoea vya bure.We jamaa umejudge vibaya.
Katika kuelekea uchumi wa viwanda, hivi ndivyo sisi tunataka.
Muuzaji "A" lete product yako, muuzaji ''B" leta product yako pia, msiogope tangazeni sifa za products zenu
Haina haja ya mzalishaji asitishe kutoa huduma yake sababu sokoni tayari Kuna product hio.
Kama wataona kuna conflict of interest wao watakaa chini watapanga,Ila wewe Kama mshabiki una wasi wasi gani?!
Hivi bado yupo?.Usicheze na Clouds.Lady Jay Dee a.k.a Jide a.k.a Wallet a.k.a Commando a.k.a Binti Machozi....
Jide anatamba wapi?,anatambaje?Umebadili swali tena?..Swali la msingi lilikuwa msanii kuwa na beef na Clouds na kuendelea kutamba...Hao waliotajwa pamoja na kwamba walikuwa na beef waliendelea kutamba (jibu la swali lako la msingi)..Pamoja na beef kuisha mpaka sasa Clouds hawachezi nyimbo za Jide na bado anatamba...
Huyo unamsikia tena Kwisha habari yakeLady Jay Dee a.k.a Jide a.k.a Wallet a.k.a Commando a.k.a Binti Machozi....
Bado sijakupata mkuuyani tusiwe na tabia ya kaa,mfano
kaa ukimuweka mwenyewe kwenye ndoo hufiki mbali utamkuta ametoka nje ya ndoo ila ukimuweka na wenzake hawezi kutoka kwa sababu wenzake wanamvuta arudi kwenye ndoo
nadhani mpaka hapo utakua umemuelewa ruge
Hao clouds wenyewe wote makaa mama zaooWanamuonea tu kaa wenyewe wapambane na hali zao
Hivi bado yupo?.Usicheze na Clouds.
The same ilivyokuwa kwa jide na mwana FA. Kwa jide kulijaa huku kule kwa mwana fa wakiwaomba wanafunzi wa IFM waingie kwa buku Tano ilivyofika mida ya saa tano Usiku. Clouds wamewatesa sana wasanii sina cha kuwaonea huruma hata kidogo hao wanyonyaji.Karma is a bitch.
Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.
Mkuu mimi nitakuwa JK nyerere kuburudika na Classical Music(Dar Choral Society)Mimi kamakawa ...nakula bia kibo complex Tegeta hadi saa sita then naenda kuruka majoka( strictly Old Skool) kwa John Dilinga Club Legends (zamani nyumbani lounge) ....hizo mambo zingine nilishasahau toka enzi za Summer Jam Slipway .....
Hahaha ....nimekupata brudaKwakweli siku hiyo nitakuwa JK Nyerere Convention Cantre nikiburudika na Classical Music(Dar Choral Society pamoja St. Kizito Choir Makuburi)
Kwakweli efm walianza vizuri lakini naona wanaanza mambo ya kipuuziHata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Wanatest mitambo mkuuKwakweli efm walianza vizuri lakini naona wanaanza mambo ya kipuuzi
itakuzaje ushndani akat tim moja refa wao ??Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!
Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.
Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.
Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!