Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, I meant kama mtu unataka kuweka dhamana ili uchukue mkopo bank.Unachukua pesa yako yote, hawana shida
Okay 👍75% ya hela yako inakuwa collateral ya mkopo unaochukuwa
Asante sanaCRDB ni custodian wa UTT
1 . Unaweza kununua vipande vya UTT kupitia CRDB na bank zingine kadhaaa mfano NBC, Stanbic, NMB na kupitia mitandao ya simu
2. Unaweza kuuza vipande vyako vya UTT na hiyo pesa itatumwa kwenye account ambayo umeianisha kwenye form yako uliojaza wakat wa kujisajili kwenye mfuko
3. Utaratibu wa kufungua account ya UTT unaanzia kwenye cm kwa kupiga *150*82# na kufata maelekezo au kwa kutumia app baada ya hapo unaweza ukaanza kununua vipande .. kisha unaweza kuchukua form online au kwenda ofcn kwao ukajaza form za ule mfuko ambao ulijiunga nao kupitia cm na utaweka account namba ambayo uliipata ulipofungua kupitia kwenye cm
Unaweza ukafungulia account kwenye cm ukaanza kununua vipande hata kwa miaka 5 ila kama unataka kuuza au kuanza kupokea gawio ndio uhitaj wa kujaza form unapokuwepo ili ujaze taarifa zako za ziada mfano account namba addrss yako na beneficiary wako
Zipeleke Samia infrastructure fund utavuna zaidiHabari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Kakudanganya nani mkuuZipeleke Samia infrastructure fund utavuna zaidi
Hongera boss,Mkuu usiwavunje moyo vijana, me nna 20m+ UTT lakini nafany saving kwa future plan nliyonayo
Hata akiishi yeye kajipangisha.Nyumba ya kuishi au kupangisha?
Umeandika upuuzi gan kkA really men doesn't talaka like that