Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Niliuliza kuhusu hili nikaambiwa unaweza kupewa only 75% ya pesa yako iliyoko UTT. Mbona wewe ulichukua zaidi ya 100% ya pesa yako?
Unachukua pesa yako yote, hawana shida
 
Asante sana
 
Zipeleke Samia infrastructure fund utavuna zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…