Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
- Thread starter
-
- #21
Kaka Boniface Mwangi yule kijana mwanaharakati ansema mtu yeyote anayehusika na ICC kwenye kesi ya Uhuru ni marehemu na ndio maana kesi imefutwa kwa''kukosa ushahidi'',hawa jamaa wametumia uraisi kushinda kesi zao,na sio siri kuwa kuna damu ya watu katika kukosa huo ushahidi,na Ruto waliomfix sio RAO ni PNU na nyumba ya Mumbi.