NSA wanawezaje kutrack na kuconsificate bitcoins?

NSA wanawezaje kutrack na kuconsificate bitcoins?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Moja ya sifa ninazosikia kuhusu bitcoin, ni kwamba ni uncentralized, hivyo huwezi kutrack mtumiaji.
Lakini kwa sasa kuna matukio kadhaa ya NSA kutrack wamiliki wa bitcoin, pia wameshikilia bitcoin kadhaa za watu ambao wanadai walifanya ulaghai au walizipata kiwizi au freud.
Najiuliza wanawezaje kufanya hivi, ikiwa huwezi transfer wala access bila key?
Chief-Mkwawa
 
Moja ya sifa ninazosikia kuhusu bitcoin, ni kwamba ni uncentralized, hivyo huwezi kutrack mtumiaji.
Lakini kwa sasa kuna matukio kadhaa ya NSA kutrack wamiliki wa bitcoin, pia wameshikilia bitcoin kadhaa za watu ambao wanadai walifanya ulaghai au walizipata kiwizi au freud.
Najiuliza wanawezaje kufanya hivi, ikiwa huwezi transfer wala access bila key?
Chief-Mkwawa
Ni dentralized mkuu ila information zipo public, Hazijafichwa.

Kutoka site ya bitcon

All Bitcoin transactions are public, traceable, and permanently stored in the Bitcoin network.

Source

Hivyo mkuu wanachofanya Police ni kujua tu adress yako ya bitcoin, wakishaijua ulipotuma hela, ulichopokea, Adress ulizotrade nazo etc watazijua.

Usiri wa Bitcoin ni pale adress inapokua siri, ikishajulikana kila kitu kipo wazi, unapomtapeli mtu kama alikutumia coin tayari hakuna usiri.
 
Ni dentralized mkuu ila information zipo public, Hazijafichwa.

Kutoka site ya bitcon

All Bitcoin transactions are public, traceable, and permanently stored in the Bitcoin network.

Source

Hivyo mkuu wanachofanya Police ni kujua tu adress yako ya bitcoin, wakishaijua ulipotuma hela, ulichopokea, Adress ulizotrade nazo etc watazijua.

Usiri wa Bitcoin ni pale adress inapokua siri, ikishajulikana kila kitu kipo wazi, unapomtapeli mtu kama alikutumia coin tayari hakuna usiri.
Sasa kama ni hivyo kwanini cryptos wanapenda kuzitumia kama malipo kwenye issue ilegal.
Na wanaweza confiscate vipi bitcoins pasipo kuwa na key?
 
Sasa kama ni hivyo kwanini cryptos wanapenda kuzitumia kama malipo kwenye issue ilegal.
Na wanaweza confiscate vipi bitcoins pasipo kuwa na key?
Mkuu wallet unaweza kutengeza na kuachana nayo. Inamaana unapokea then huitumii tena.

Na kama una hofu sana kuna jamaa wanaitwa Treassure man wapo Hydra ukiwatumia bitcoin wanaacha hela mtaani popote unapotaka.

Kama ulifungua Wallet anonymous na uka cash in na kuachana nayo ngumu kujulikana.

Issue ya Key ni utata, wana Quantum pc zinazocrack key? (Unlikely ila inawezekana), wataalamu wanasema wanazipata kwa normal ways, assume criminal amekamatwa na wallet na key kwenye kifaa chake.

Kuna jamaa hapa ameelezea possibilities nyingi


Ila kifupi ni guess work tu we dont know for sure what happens
 
Ni ngumu sana au unaweza sema haiwezekani kudukua Bitcoin, au Cryptocurrency yoyote inayo run on Blockchain.

Hii ni kutokana na Nature yenyewe ya BlockChain.

Lakini hii haifanyi Bitcoin au Crypto iwe safe kutoka kwenye attacks za aina nyingine.

Unaona, Bitcoin au Crypto transaction yoyote inawezeshwa na vitu viwili muhimu,

Crypto wallet, mfano Coinbase ambayo kimsingi ni kama wallet yako ya kawaida, ila badala ya kuhifadhi pesa, inahifadhi Cryptographic information kama (Private au Public) keys ambazo ndio zinahitajika ku access coins au Tokens zako

Pia kuna Digital Currency exchanges ambazo kimsingi ni Web services zinazokuwezesha kununua au kuuza Crypto

Hivi vyote, Wallet na Digital exchanges zina technical vulnerabilities zinazoweza tumiwa na ku steal hizo Cryptographic info kwenye wallets za Bitcoin users

Ila ni ngumu ku hack Bitcoin kama Bitcoin, ni sawa na mimi kupata credentials zako za Gmail, haina maana nime hack Gmail Software
 
Back
Top Bottom