Aahaaa[emoji23][emoji23]
Uwezo tunao
Nia tunayo
Na nguvu tunayo
Apigwe nduli[emoji23]
Apigweeeeee utomamelod[emoji23][emoji23]
Uwezo tunao
Nia tunayo
Na nguvu tunayo
Apigwe nduli[emoji23]
Hakuna kama Utomajini ukanda huu wa secafa...Yaaah mkuu...ni Yanga tu anayeleta heshima nchini
Yaani hao waliolegezwa viuno na demu wa Harmonize ndio mnategemea walete heshima kwa 🐸🐸?Yaaah mkuu...ni Yanga tu anayeleta heshima nchini