Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
#KIPENGA: ''Kwenye eneo la ulinzi ni eneo ambalo Aubrey Modiba kutokea Mamelodi anacheza na kitu ambacho Aubrey Modiba anamzidi Bacca sijakiona kwa sababu Bacca amekuwa na muendelezo mzuri wa kufanya vizuri kwenye matukio hasa hii ya Michezo mikubwa ni ngumu sana kumuona Bacca anafanya makosa yanalopelekea goli'' - @nsajigwa_senior Via Kipenga
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Michezo #KipengaXtra #HainaKuchoka
Makolo mkihitajika nusu final mtaitwa[emoji23][emoji113]....by doto magali.
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Michezo #KipengaXtra #HainaKuchoka
Makolo mkihitajika nusu final mtaitwa[emoji23][emoji113]....by doto magali.