Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Kama ulikua mvumilivu na kukita na share zako za KQ hata ilipokua na shida basii wakati kama huu ungekua na Tabasamu tele kwani hisa zako zingekua zimeongezeka na 30%.
Huyu CEO mpya amefita meneja karibu wote wa kitambo yanii jamaa anachapa kazi bila huruma ya mtu yeyote
Huyu CEO mpya amefita meneja karibu wote wa kitambo yanii jamaa anachapa kazi bila huruma ya mtu yeyote