NSSF hawajakoma? Baada ya kujenga maghorofa ya Dege Kigamboni, yakadoda, Ubungo Plaza, Hoteli Mwanza, sasa wanajenga hotel ya nyota tano Dodoma.

NSSF hawajakoma? Baada ya kujenga maghorofa ya Dege Kigamboni, yakadoda, Ubungo Plaza, Hoteli Mwanza, sasa wanajenga hotel ya nyota tano Dodoma.

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.

Ni ujinga mwingine.

Screenshot_20241220-211916.jpg
 
Bila Construction projects tutaish vip mzee....

NSSF wana Construction projects na Agricultural projects za Mabilioni..

Hizo pesa ni za bure na hazidaiwi kwa nguvu hivyo ...

Ikitokea zimeisha inatungwa sheria nyingine tena ya kusubiri mafao baada ya miaka kumi....

Kipindi Bwana fulani alikiwa anazigawa mpaka kwa wanasiasa wakaoana zinaisha, wakaleta sheria ya kuzuia wanachama kujitoa..

Ni Kama kawaida tu😃
 
'Kuleni kwa urefu wa kamba zenu'.

Hiyo ni amri toka kwa mkuu, hao NSSF ni nani hata wakatae maelekezo toka juu!?
 
Kama hiyo Project italeta tija na Ajira kuna shida gani?
 
Bila Construction projects tutaish vip mzee....

NSSF wana Construction projects na Agricultural projects za Mabilioni..

Hizo pesa ni za bure na hazidaiwi kwa nguvu hivyo ...

Ikitokea zimeisha inatungwa sheria nyingine tena ya kusubiri mafao baada ya miaka kumi....

Kipindi Bwana fulani alikiwa anazigawa mpaka kwa wanasiasa wakaoana zinaisha, wakaleta sheria ya kuzuia wanachama kujitoa..

Ni Kama kawaida tu[emoji2]
Ni bure kama za NHIF hata wana siasa wanakopeshwa hamna wakuwabugudhi.
 
Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.

Ni ujinga mwingine.

View attachment 3181121
10% ya Bilioni 800 ni sawa na sh ngapi?
 
Pesa za mambugila ndomana wanazitumia watakavyo

Ova
 
Halafu punda wanakuja kupunguziwa mafao kupitia kikokotoo.

CCM ni adui mkuu wa maendeleo endelevu.
 
Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.

Ni ujinga mwingine.

View attachment 3181121
Hiyu anayeonekana ni nani? Kipindi hayo maamuzi yanatolewa ya kujenga real estate zisizo na tija ndo kipindi kile NSSSF wamejazana wale wavaa makubasi! Magu alikuja akawasambaratisha angalau they came into their senses! Sasa huyu ni nani anirudisha NSSF kuleee? Wanufaika wa mfuko wanadai mafao hawalipwi!
 
Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.

Ni ujinga mwingine.

View attachment 3181121
Wakome kufanya nini Sasa? Kwani huko walikojenga wakipata hasara au Jiwe aliwapora pesa zao?

Mwisho sio tuu wanajenga hiyo Hoteli ya nyota 5 Bali wameshapata mwendeshaji wa Hoteli yenyewe.

Dodoma itakuwa na 5 star hotels 3 Sasa
 
Bila Construction projects tutaish vip mzee....

NSSF wana Construction projects na Agricultural projects za Mabilioni..

Hizo pesa ni za bure na hazidaiwi kwa nguvu hivyo ...

Ikitokea zimeisha inatungwa sheria nyingine tena ya kusubiri mafao baada ya miaka kumi....

Kipindi Bwana fulani alikiwa anazigawa mpaka kwa wanasiasa wakaoana zinaisha, wakaleta sheria ya kuzuia wanachama kujitoa..

Ni Kama kawaida tu😃
Bora waweke pesa kwenye miradi ya ujenzi huko kwenye Kilimo Kuna hasara ya Kufa mtu.

Hasara waliyokula kule mkulazi ingejenga jengi kama Hilo Mbeya.
 
Back
Top Bottom