Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini hizi ni pesa za wafakazi masikini wa watanganyikaKatikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.
Ni ujinga mwingine.
View attachment 3181121
Ni bure kama za NHIF hata wana siasa wanakopeshwa hamna wakuwabugudhi.Bila Construction projects tutaish vip mzee....
NSSF wana Construction projects na Agricultural projects za Mabilioni..
Hizo pesa ni za bure na hazidaiwi kwa nguvu hivyo ...
Ikitokea zimeisha inatungwa sheria nyingine tena ya kusubiri mafao baada ya miaka kumi....
Kipindi Bwana fulani alikiwa anazigawa mpaka kwa wanasiasa wakaoana zinaisha, wakaleta sheria ya kuzuia wanachama kujitoa..
Ni Kama kawaida tu[emoji2]
10% ya Bilioni 800 ni sawa na sh ngapi?Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.
Ni ujinga mwingine.
View attachment 3181121
Hiyu anayeonekana ni nani? Kipindi hayo maamuzi yanatolewa ya kujenga real estate zisizo na tija ndo kipindi kile NSSSF wamejazana wale wavaa makubasi! Magu alikuja akawasambaratisha angalau they came into their senses! Sasa huyu ni nani anirudisha NSSF kuleee? Wanufaika wa mfuko wanadai mafao hawalipwi!Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.
Ni ujinga mwingine.
View attachment 3181121
Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.
Ni ujinga mwingine.
View attachment 3181121
Wakome kufanya nini Sasa? Kwani huko walikojenga wakipata hasara au Jiwe aliwapora pesa zao?Katikati ya tetesi za mapendekezo ya watumishi kustaafu wakiwa na miaka 65 ili kuiokoa mifuko hii ya hifadhi ya jamii., mifuko hii ambayo kimsingi ni mahututi, NSSF wanakuja na hoja ya kujenga hotel ya nyota tano Dodoma.
Ni ujinga mwingine.
View attachment 3181121
Bora waweke pesa kwenye miradi ya ujenzi huko kwenye Kilimo Kuna hasara ya Kufa mtu.Bila Construction projects tutaish vip mzee....
NSSF wana Construction projects na Agricultural projects za Mabilioni..
Hizo pesa ni za bure na hazidaiwi kwa nguvu hivyo ...
Ikitokea zimeisha inatungwa sheria nyingine tena ya kusubiri mafao baada ya miaka kumi....
Kipindi Bwana fulani alikiwa anazigawa mpaka kwa wanasiasa wakaoana zinaisha, wakaleta sheria ya kuzuia wanachama kujitoa..
Ni Kama kawaida tu😃