johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Natoa tu angalizo siyo sawa taasisi kubwa kama NSSF kutuwekea mapori Mjini.
Sasa Watu wanatupwa tu kwenye pori la taasisi ya Umma tena wengine wakiwa wameshakufa kama yule mzee Ally Mohamed Kibao.
Hili pori liko pembeni ya barabara inayotumiwa na Viongozi wengi sana akiwemo Waziri nyeti kabisa na Wabunge Askofu Dr Gwajima na mh Halima James Mdee.
Pori hili ni hatari sana kwa Usalama wa Matajiri wa Mbweni pia.
Ahsanteni 🐼
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Sasa Watu wanatupwa tu kwenye pori la taasisi ya Umma tena wengine wakiwa wameshakufa kama yule mzee Ally Mohamed Kibao.
Hili pori liko pembeni ya barabara inayotumiwa na Viongozi wengi sana akiwemo Waziri nyeti kabisa na Wabunge Askofu Dr Gwajima na mh Halima James Mdee.
Pori hili ni hatari sana kwa Usalama wa Matajiri wa Mbweni pia.
Ahsanteni 🐼
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana