NSSF mnanifanyia dhulma haki yangu

NSSF mnanifanyia dhulma haki yangu

abdumadutz

New Member
Joined
Jan 31, 2017
Posts
4
Reaction score
3
Dhutous!- injustice (absence of Justice), or violation of right or of rights of another; unfairness; unjust act.

Wapendwa, nilikuwa mwajiriwa katika moja ya kampuni za ujenzi hapa Dar es salaam. Ajira yangu ilikoma mwezi wa tisa 2020. Muda wote nikiwa kazini akaunti yangu ya NSSF haikuwa na fedha. Hapo nyuma zilifanyika juhudi kadhaa zikiihusisha NSSF ili mwajiri apeleke michango yetu NSSF.

Katika nyakati tofauti - 06.10.2020, 13.10.2020 na 07.12.2020 - nilimwandikia Mkurugenzi Mkuu NSSF barua tatu kwamba hakuna fedha yoyote katika akaunti yangu, lakini sikujibiwa!

14.12.2020 nilimwandikia Waziri wa Kazi barua kuhusu hilo; siku nne baada ya barua hiyo, NSSF ikaniita ofisi zake eneo la posta, Dar es salaam na kunambia wanalishughulikia. Hapa nafupisha maelezo, kabla ya hapo niliishafatilia na kufungua madai 24.11.2020, ilishindikana!

06.01.2021 saa tano na dakika kadhaa asubuhi, nilipigiwa simu kutoka NSSF Mkoa wa Mwanza kwamba mwajiri wangu aliweka fedha yangu katika akaunti nyingine aliyonifungulia yeye na sio kwenye akaunti yangu ninayoitumia, na kwamba waihamisha fedha hiyo kuja kwenye akaunti yangu na baada ya wiki mbili watanijulisha. Hakuna kilichoendelea.

06.01.2021 asubuhi kabla ya kupigiwa simu kutoka NSSF Mwanza, niliandika barua nyingine kwa Waziri wa Kazi kwamba hakuna kinachoendelea ndipo nikapigiwa simu! Na nakala za barua nilikuwa napeleka NSSF.

22.01.2021 NSSF Customer Care ikanambia nivumilie suala langu linafuatiliwa, na hapo ni baada ya mawasiliano yangu na Katibu ofisi ya Waziri wa Kazi. Kwa hiyo, mpaka sasa tangu 22.01.2021 hakuna kinachoendelea!

Kwa hakika huu ni udhalili na mateso dhidi ya watu wa hali ya chini; watu wa hadhi ya juu hawaguswi na madhila haya. Watu tunaogopa kusema ukweli.

Jamii yoyote ambamo dhulma kama hizi ndiyo maisha ya kawaida, chuki, uhasama nk. hustawi; ni chukizo mbele ya Mungu Mtukufu, ninavyoamini, wana wa Adamu kuombeana na kutakiana mabaya. MTU unajiuliza ni lini Nusra ya Mwenyezi Mungu itafika katika dhulma kama hizi.

Wapendwa Watanzania wenzangu, naomba mnishauri nini cha kufanya.

Que la paix soit avec vous tous!
 
Hapo kwenda NSSF na panga umelinoa.

Hakuna kucheka na mtu, wasipotoa maelezo ya maana unampeleka mmoja wa wafanyakazi mbinguni.
 
Nachokushauri mtafute waziri wa kazi nafikri ni jenista mhagama tafuta namba yake kisha tuma kwanza meseji ukielezea vizuri kero yako, lazima atakupigia na atakusaidia.

Au tafuta email yake mtumie email ueleze ishu yako ambatanisha na hizo documents kwenye hyo email CC dg wa nsssf
 
nachokushauri mtafute waziri wa kazi nafikri ni jenista mhagama tafuta namba yake kisha tuma kwanza meseji ukielezea vizuri kero yako, lazima atakupigia na atakusaidia.

au tafuta email yake mtumie email ueleze ishu yako ambatanisha na hizo documents kwenye hyo email CC dg wa nsssf
Shukrani Brother kwa ushauri wako.
 
nachokushauri mtafute waziri wa kazi nafikri ni jenista mhagama tafuta namba yake kisha tuma kwanza meseji ukielezea vizuri kero yako, lazima atakupigia na atakusaidia.

au tafuta email yake mtumie email ueleze ishu yako ambatanisha na hizo documents kwenye hyo email CC dg wa nsssf

Hii nchi Contacts ni mapambo tu. Utapiga simu na kutuma emails miaka bila majibu.
 
Sisi tulihangaika kuliko wewe mwisho tukaenda na mkuu wa wilaya akakagua macomputer yao ndio tukapewa hela zetu
 
Dhulma - injustice (absence of Justice), or violation of right or of rights of another; unfairness; unjust act.

Wapendwa, nilikuwa mwajiriwa katika moja ya kampuni za ujenzi hapa Dar es salaam. Ajira yangu ilikoma mwezi wa tisa 2020. Muda wote nikiwa kazini akaunti yangu ya NSSF haikuwa na fedha. Hapo nyuma zilifanyika juhudi kadhaa zikiihusisha NSSF ili mwajiri apeleke michango yetu NSSF.

Katika nyakati tofauti - 06.10.2020, 13.10.2020 na 07.12.2020 - nilimwandikia Mkurugenzi Mkuu NSSF barua tatu kwamba hakuna fedha yoyote katika akaunti yangu, lakini sikujibiwa!

14.12.2020 nilimwandikia Waziri wa Kazi barua kuhusu hilo; siku nne baada ya barua hiyo, NSSF ikaniita ofisi zake eneo la posta, Dar es salaam na kunambia wanalishughulikia. Hapa nafupisha maelezo, kabla ya hapo niliishafatilia na kufungua madai 24.11.2020, ilishindikana!

06.01.2021 saa tano na dakika kadhaa asubuhi, nilipigiwa simu kutoka NSSF Mkoa wa Mwanza kwamba mwajiri wangu aliweka fedha yangu katika akaunti nyingine aliyonifungulia yeye na sio kwenye akaunti yangu ninayoitumia, na kwamba waihamisha fedha hiyo kuja kwenye akaunti yangu na baada ya wiki mbili watanijulisha. Hakuna kilichoendelea.

06.01.2021 asubuhi kabla ya kupigiwa simu kutoka NSSF Mwanza, niliandika barua nyingine kwa Waziri wa Kazi kwamba hakuna kinachoendelea ndipo nikapigiwa simu! Na nakala za barua nilikuwa napeleka NSSF.

22.01.2021 NSSF Customer Care ikanambia nivumilie suala langu linafuatiliwa, na hapo ni baada ya mawasiliano yangu na Katibu ofisi ya Waziri wa Kazi. Kwa hiyo, mpaka sasa tangu 22.01.2021 hakuna kinachoendelea!

Kwa hakika huu ni udhalili na mateso dhidi ya watu wa hali ya chini; watu wa hadhi ya juu hawaguswi na madhila haya. Watu tunaogopa kusema ukweli.

Jamii yoyote ambamo dhulma kama hizi ndiyo maisha ya kawaida, chuki, uhasama nk. hustawi; ni chukizo mbele ya Mungu Mtukufu, ninavyoamini, wana wa Adamu kuombeana na kutakiana mabaya. MTU unajiuliza ni lini Nusra ya Mwenyezi Mungu itafika katika dhulma kama hizi.

Wapendwa Watanzania wenzangu, naomba mnishauri nini cha kufanya.

Que la paix soit avec vous tout!
Kweli ni mateso. Kana kwamba unaomba mkopo wa fadhila! Dhana ya Uhuru wa kweli bado ni ndoto na iko mbali. Kama kusema kweli kuna gharama, heeh... (backlash)!
 
Nakushauri jumamosi saa tatu usiku sikiliza kipindi cha pao kwa papo cha Polepole wa ccm
Ndani ya wiki tu utapata hela yako
 
Hapo nssf kuna genge la ppf ndo madhulumati wakubwa.
Rais muondo mkurugenzi wa nssf mapema,
Kwanza ni mdini na pia mbaguzi, na pia mwivi
Dhulma - injustice (absence of Justice), or violation of right or of rights of another; unfairness; unjust act.

Wapendwa, nilikuwa mwajiriwa katika moja ya kampuni za ujenzi hapa Dar es salaam. Ajira yangu ilikoma mwezi wa tisa 2020. Muda wote nikiwa kazini akaunti yangu ya NSSF haikuwa na fedha. Hapo nyuma zilifanyika juhudi kadhaa zikiihusisha NSSF ili mwajiri apeleke michango yetu NSSF.

Katika nyakati tofauti - 06.10.2020, 13.10.2020 na 07.12.2020 - nilimwandikia Mkurugenzi Mkuu NSSF barua tatu kwamba hakuna fedha yoyote katika akaunti yangu, lakini sikujibiwa!

14.12.2020 nilimwandikia Waziri wa Kazi barua kuhusu hilo; siku nne baada ya barua hiyo, NSSF ikaniita ofisi zake eneo la posta, Dar es salaam na kunambia wanalishughulikia. Hapa nafupisha maelezo, kabla ya hapo niliishafatilia na kufungua madai 24.11.2020, ilishindikana!

06.01.2021 saa tano na dakika kadhaa asubuhi, nilipigiwa simu kutoka NSSF Mkoa wa Mwanza kwamba mwajiri wangu aliweka fedha yangu katika akaunti nyingine aliyonifungulia yeye na sio kwenye akaunti yangu ninayoitumia, na kwamba waihamisha fedha hiyo kuja kwenye akaunti yangu na baada ya wiki mbili watanijulisha. Hakuna kilichoendelea.

06.01.2021 asubuhi kabla ya kupigiwa simu kutoka NSSF Mwanza, niliandika barua nyingine kwa Waziri wa Kazi kwamba hakuna kinachoendelea ndipo nikapigiwa simu! Na nakala za barua nilikuwa napeleka NSSF.

22.01.2021 NSSF Customer Care ikanambia nivumilie suala langu linafuatiliwa, na hapo ni baada ya mawasiliano yangu na Katibu ofisi ya Waziri wa Kazi. Kwa hiyo, mpaka sasa tangu 22.01.2021 hakuna kinachoendelea!

Kwa hakika huu ni udhalili na mateso dhidi ya watu wa hali ya chini; watu wa hadhi ya juu hawaguswi na madhila haya. Watu tunaogopa kusema ukweli.

Jamii yoyote ambamo dhulma kama hizi ndiyo maisha ya kawaida, chuki, uhasama nk. hustawi; ni chukizo mbele ya Mungu Mtukufu, ninavyoamini, wana wa Adamu kuombeana na kutakiana mabaya. MTU unajiuliza ni lini Nusra ya Mwenyezi Mungu itafika katika dhulma kama hizi.

Wapendwa Watanzania wenzangu, naomba mnishauri nini cha kufanya.

Que la paix soit avec vous tout!
 
Hapo nssf kuna genge la ppf ndo madhulumati wakubwa.
Rais muondo mkurugenzi wa nssf mapema,
Kwanza ni mdini na pia mbaguzi, na pia mwivi
Mkurugenzi wa NSSF ni mwanafamilia ya Mkapa.

Mkapa ndiye akimweka Magu ikulu.

Kwahiyo issue ya kutumbuana hapo sahau.
 
Wangenikuta muhuni wa Manzese wangenielewa nisingekubali kurudi mara mbili mbili ninge deal na uongozi wa juu
 
Back
Top Bottom