Nssf na sheria za Tanzania!!!

Nssf na sheria za Tanzania!!!

mtemiwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
384
Reaction score
46
Kuna habari ziliandikwa na gazeti la MWANANCHI jnne kwamba wafanyakazi 40 wa mgodi wa geita walifoji vielelezo na kujipatia mamilioni toka nssf huku wakiendelea na kazi kinyume cha sheria iliyoanzisha mfuko huu,habari zinaeleza hawa watu hawajachukuliwa hatua yoyote pamoja na kujulikana pengine kwa kuogopa ukwasi wao au madaraka waliyonayo kimgodi,naomba wataalam wa sheria hapa jf watudadavulie mtu mwenye kutenda kosa hili anaweza kabiliwa na adhabu gani?
 
Back
Top Bottom