NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

Kwanini mtu anayeacha kazi kwa hiari na alikuwa mwanachama halali wa Nssf hawezi kupewa hela zake mpaka afikishe miaka 55 Yaan umri wa kustaafu?

Mbona kama hii sheria inafavor zaidi upande wa NSSF na sio mwanachama. Kwanini mtu anayefukuzwa au kuachishwa kazi na muajiri ndiyo anapaswa kupewa?

Kwahiyo tuseme kuwa mtu hana haki ya kuacha kazi na akastahili kupewa fedha yake akaendelea na maisha mengine?

Inakuwaje hela mlizokata kwneye mshahara wangu mnipangie namna ya kuzichukua? Kwann nisichukue wakati wowote?

NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

Moderator badilisheni title ya uzi, ina mislead...
 
Kwanini mtu anayeacha kazi kwa hiari na alikuwa mwanachama halali wa Nssf hawezi kupewa hela zake mpaka afikishe miaka 55 Yaan umri wa kustaafu?

Mbona kama hii sheria inafavor zaidi upande wa NSSF na sio mwanachama. Kwanini mtu anayefukuzwa au kuachishwa kazi na muajiri ndiyo anapaswa kupewa?

Kwahiyo tuseme kuwa mtu hana haki ya kuacha kazi na akastahili kupewa fedha yake akaendelea na maisha mengine?

Inakuwaje hela mlizokata kwneye mshahara wangu mnipangie namna ya kuzichukua? Kwann nisichukue wakati wowote?
huu uonevu kabisa bila shaka lolote hilo.
wewe nipe hela yngu nikafie mbele. mambo ya kupangiana matumizi watu wazima ni ujinga.
 
Hii sheria wakati inajadiliwa bungeni Mhe Easter Bulaya na wengine wachache walipambana vikali kuipinga lakini bahati mbaya wafanyakazi huku mitaani wakawa hawana time, wako bize kumsifia jiwe wakati huo. Kuja kushtuka tayari keusi kekundu watu wanakumbuka shuka kumekucha... hatutaki kabisa kufuatilia miswaada yenye athari kama hii ikiletwa bungeni.
Totally true indeed
 
Hii sheria wakati inajadiliwa bungeni Mhe Easter Bulaya na wengine wachache walipambana vikali kuipinga lakini bahati mbaya wafanyakazi huku mitaani wakawa hawana time, wako bize kumsifia jiwe wakati huo. Kuja kushtuka tayari keusi kekundu watu wanakumbuka shuka kumekucha... hatutaki kabisa kufuatilia miswaada yenye athari kama hii ikiletwa bungeni.
Wanasubiri watetetewe na wabunge. Mliyalea wenyewe sasa ndio nyeusi imekuwa nyekundu mnalia nn
 
Kwanini mtu anayeacha kazi kwa hiari na alikuwa mwanachama halali wa Nssf hawezi kupewa hela zake mpaka afikishe miaka 55 Yaan umri wa kustaafu?

Mbona kama hii sheria inafavor zaidi upande wa NSSF na sio mwanachama. Kwanini mtu anayefukuzwa au kuachishwa kazi na muajiri ndiyo anapaswa kupewa?

Kwahiyo tuseme kuwa mtu hana haki ya kuacha kazi na akastahili kupewa fedha yake akaendelea na maisha mengine?

Inakuwaje hela mlizokata kwneye mshahara wangu mnipangie namna ya kuzichukua? Kwann nisichukue wakati wowote?
Haya ndio mambo ya kuihoji Serikali irekebishe sheria zisizo na maana
 
Mfumo wa mafao ya uzeeni ya Tanzania ni mbovu ajabu.

Tunatakiwa tuwe na mifumo miwili. Mmoja unatakiwa uwe Kitaifa kwa Mtanzania yeyote yule, hii haijalishi alikatwa NSSF au hajakatwa. Ni lazima awe na haki ya kupata mshahara wa kila mwezi anapomaliza miaka rasmi ya kustaafu, mpaka kufa kwake. Tena ziwe ni pesa na mahitaji mengine yote. Hata kama bado anafanya kazi kwengine na muda wa kustaafu umefika, hizi nazo ni lazima alipwe.

Aina ya pili ni hizo za wanaokatwa NSSF au PSSf au utaratibu mwengine wowote, ziwe ni akiba ya mfanya kazi au yeyote aliyekuwa anakatwa au analipa na kuweka kama akiba yake. tena iwe inazaa riba kila mwaka, na anapojitowa tu, wakati wowote kabla hajafa alipwe zote kwa mkupuo na faida yake. Hakuna longo longo.

Hii mifuko haiingiliani, mmoja ule ni wa kitaifa na unatokana na kodi zake, alizokuwa anakatwa moja kwa moja (direct)na anazokatwa "indirect".

Sifahamu kwanini mambo madogo kama haya, yanawaumiza 'wasomi" wetu vichwa. Hayana complications" zozote.

Haihitajiki "rocket science" wala "kikotoo" ushuzi kuyajuwa.
 
Ni wizi tu
Tena ni wizi wa kijinga kabisa.

Mimi nashangaa "complications" zote wanazoziunda za nini? Vitu vyepesi na kwa teknolojia ya sasa hivi, watu hawazidi 50 wataendesha mifumo yote hiyo miwili, niliyoielezea juu hapo. Bila shida yoyote ile. Wala hatuhitaji kuwa na mfumo unaoendeshwa kiserikali. Wawacheieni watu binafsi waendeshe, serikali iwe "facilitator" tu.
 
Back
Top Bottom