Wadau poleni na kazi ya kukabiliana na hali zenu.
Kuna tetesi kwamba NSSF wamefanya kikao jana tarehe 11/09/2017 na wafanyakazi wa Bulyankhulu Gold mine ambao wapo kwenye list ya redundancy na kuwataarifu kuwa watachukua fao lao la kujitoa mara watakapofikisha umri wa miaka 55.
Yeyote ambae anataarifa kamili tunaomba update
Kuna tetesi kwamba NSSF wamefanya kikao jana tarehe 11/09/2017 na wafanyakazi wa Bulyankhulu Gold mine ambao wapo kwenye list ya redundancy na kuwataarifu kuwa watachukua fao lao la kujitoa mara watakapofikisha umri wa miaka 55.
Yeyote ambae anataarifa kamili tunaomba update