NSSSF wanavyotuumiza wanachama

NSSSF wanavyotuumiza wanachama

Shida ni moja tu aliyewapandishia wabunge mishahara ndio kawafumba macho! Manake pia nssf yao wanalamba hapo hapo after 5yrs na kiinua mgongo pia,sisi wanyonge tuendelee kula nyasi mpk aliki zikiamka kwa sasa bado sana.
 
Hilo ni gumu, maana kufukuzwa kazi huwa kunaendana na fidia ya mshahara wa mwezi mmoja mbele bila kufanya kazi.

Ndio maana makampuni mengi huwa yana tabia ya kuku- frustrate wewe ndio uandike barua ya kuacha kazi ili yakwepe hasara.
Daaaah aisee.
 
Habari ndugu jamaa na marafiki.

Nilikuwa mfanyakazi katika taasisi binafsi hapa mkoani nimefanya kwa muda wa miaka miwili, ingawa ndoto zangu zilikuwa ni kujiajiri ktk biashara kwa hiyo niliweka target ya kufanya kazi kwa muda ili nipate mtaji wa kuanzia business.

Mwez wa pili mwaka huu nikaona ni wakati sahihi wa kufanya kile nilichokuwa nime plan, kwa pesa niliyokuwa nimeikusanya nikajumlisha pesa zangu za NSSSF nikaona zitanitosha kabisa.

Moja kwa moja nikaenda NSSSF kufungua madai nikaambiwa yanipasa nilete barua kutoka kwa mwajiri wangu, nikawasilisha barua yangu hapo mapokezi akapokea dada mmoja akaisoma kisha akaniambia nenda kwenye notice body kasome vigezo vya kufungua madai kisha jipime kama unastahili.

Nikasogea mpaka kwenye ubao wa matangazo sheria zilioandikwa pale ilibidi nilie tu ndugu zangu, kwanza natakiwa kuwa niliachishwa kazi au kustaafu sio mimi kuacha kazi pia nitapewa asilimia thelathini ya mshahara, yaani sheria nyingine hata nimezisahau nikarudi kwa yule dada nikamwambia inakuaje akasema jipime we mwenyewe umekidhi vigezo.

Jasho likaanza kunitoka yaani plan zangu zote ni zero nikaondoka kinyonge.

Pesa yangu inanitoa jasho kutafuta halafu hawa ndugu wanazila kiulaini kbsa mliotunga hizi sheria.

Mkumbuke kuna jehanamu ndugu zangu
Mkuu kwanza na mimi naomba kukufahamisha jambo, navyo fahamu NSSF ni Mfuko wa Hifadhi ya jamii na sio taasisi ya kifedha na kwa kua sio taasisi ya fedha michango unayoweka sio ya kuichukua tu kwa sababu umetimiza malengo yako lakini unawekewa ili fedha hizo zije kukusaidia kipindi ambacho utakuwa hauna nguvu tena za kufanya kazi. Si tutakuwa tumeelewana wandugu
 
Habari ndugu jamaa na marafiki.

Nilikuwa mfanyakazi katika taasisi binafsi hapa mkoani nimefanya kwa muda wa miaka miwili, ingawa ndoto zangu zilikuwa ni kujiajiri ktk biashara kwa hiyo niliweka target ya kufanya kazi kwa muda ili nipate mtaji wa kuanzia business.

Mwez wa pili mwaka huu nikaona ni wakati sahihi wa kufanya kile nilichokuwa nime plan, kwa pesa niliyokuwa nimeikusanya nikajumlisha pesa zangu za NSSSF nikaona zitanitosha kabisa.

Moja kwa moja nikaenda NSSSF kufungua madai nikaambiwa yanipasa nilete barua kutoka kwa mwajiri wangu, nikawasilisha barua yangu hapo mapokezi akapokea dada mmoja akaisoma kisha akaniambia nenda kwenye notice body kasome vigezo vya kufungua madai kisha jipime kama unastahili.

Nikasogea mpaka kwenye ubao wa matangazo sheria zilioandikwa pale ilibidi nilie tu ndugu zangu, kwanza natakiwa kuwa niliachishwa kazi au kustaafu sio mimi kuacha kazi pia nitapewa asilimia thelathini ya mshahara, yaani sheria nyingine hata nimezisahau nikarudi kwa yule dada nikamwambia inakuaje akasema jipime we mwenyewe umekidhi vigezo.

Jasho likaanza kunitoka yaani plan zangu zote ni zero nikaondoka kinyonge.

Pesa yangu inanitoa jasho kutafuta halafu hawa ndugu wanazila kiulaini kbsa mliotunga hizi sheria.

Mkumbuke kuna jehanamu ndugu zangu
Mkuu ulikuwa umevaa barakoa ?

Mkuu ulizani maisha ni marahisi hivyoo 😂😂😂😂 usiache kazi subiri kazi ikukatae mkuu
 
Mitano Tena na tena. Nchi hii wabongo hatujawahi kuwa na ushirikiano, mmoja akipatwa Tatizo mwingine anaona halimhusu. Siku na yeye yakimkuta na anaanza kulialia, na akijifanya tu kupambana kwasababu atakuwa yuko peke yake atadhibitiwa kikamilifu.

Anyway, kama ulikuwa hujui leo limekukuta ndio umejua.

Hiyo sheria ilishatungwa muda tu na imeshaumiza wengi tu na bado itawaumiza wengi ambao huwa wanashangaa kwanini kuna watu wanaiona serikali ya Magu ni shetani.

Kosa la kwanza ulilofanya ni KUANDIKA BARUA YA KUACHA KAZI.

Utakachopewa hapo NSSF ni asilimia 33.3 ya mshahara wako kwa miezi 6, then utafute KAZI nyingine uendeleze mfuko wako au usubiri miaka 55 ndio uchukue chako.

One Nation- Two systems. Nchi moja lakini sheria inatungwa kwaajili ya watu fulani tu wengine haiwahusu.

Sheria wanatungiwa masikini tu, hiyo sheria ya mafao wabunge, vigogo na wanasiasa haiwahusu.

Nimalize kwa kusema: KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. USIWASIKILIZE MABEBERU, HAWATUTAKII MEMA KABISA. TUKO VIZURI[emoji1787]
Hii comment inatakiwa iwekwe lamination,na ww upewe ulinzi[emoji16]

Sent from my itel A16 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom