Ntakukumbuka Mzee Kilomoni, elimu ndogo ila akili za kutosha. Mo bado hajaweka pesa zetu

Ntakukumbuka Mzee Kilomoni, elimu ndogo ila akili za kutosha. Mo bado hajaweka pesa zetu

kt the irreplaceable

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
2,375
Reaction score
4,893
Mzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.

Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?

Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa Msovero?
 
Mnachotakiwa mfahamu mbumbumbu fc kwasasa mwekezaji mna vunanae faida katika Kila sent inayo ingia msimbazi.

Uwekezaji Alisha fanya, Sasa mi mwendo wa pasukwapasu kuanzia fedha inazopata Simba katika Kila udhamini Kwa timu ya wanawake na wanaume.
Fedha zinazotolewa na CAF n.k
Mwacheni Mudi ajilie matunda yake, timu kaitoa mbalisana.
 
Mnachotakiwa mfahamu mbumbumbu fc kwasasa mwekezaji mna vunanae faida katika Kila sent inayo ingia msimbazi.

Uwekezaji Alisha fanya, Sasa mi mwendo wa pasukwapasu kuanzia fedha inazopata Simba katika Kila udhamini Kwa timu ya wanawake na wanaume.
Fedha zinazotolewa na CAF n.k
Mwacheni Mudi ajilie matunda yake, timu kaitoa mbalisana.
Duuh... hii kali
 
Mungu ambariki Mzee Kilomoni! Hakika alipigania sana maslahi ya timu yetu ya simba! Ona mpaka sasa hata hatujui zile bilioni 20 za mwekezaji wetu zilipo!

Ukihoji, unaonekana mbaya! Unaishia tu kutukanwa matusi ya kila aina na vibaraka wa mwekezaji! Hili jambo halikubliki hata kidogo!

Mzee Kilomoni, rudi Klabuni uje uokoe jahazi kabla halijazama. Hata kwa kupitia mapinduzi, bado tutakuunga mkono.
 

Attachments

  • 20221024_222727.jpg
    20221024_222727.jpg
    92.4 KB · Views: 9
Mzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.
Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?

Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa msovero?
Mmepigwa na ponjoro
 
Huna hoja ya msingi umeandika utumbo! Badala ya kuhoji 51% iko wapi na inafanya kazi gani unahoji 49% ya mtu ambaye analea timu na kusajili wachezaji! Kweli akili si nywele!
Ninachojua Mimi hiyo 51% ndio Simba yenyewe ,yaan mfano mdogo .
Mimi Nina shamba ekari kumi ,wewe mwekezaji una capital ambayo itatakiwa itumike Sasa kulimia Hilo shamba ili mazao yakipatikana Sasa ndo tugawane hizo asilimia.
Mo ndio anaisaidia timu lakin kiuhun uhuni Sana ,hajaweka pesa yote Kama makubaliano yanavyosema ,yeye amekuja na gia ya kutoa dusu dusu na huku akiambulia faida kwa asilimia ya 49 huu ni ujinga Sana .
Ngoz nyeupe itazid kututawala sabab ya ujinga wetu
 
Back
Top Bottom