kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Duuh... hii kaliMnachotakiwa mfahamu mbumbumbu fc kwasasa mwekezaji mna vunanae faida katika Kila sent inayo ingia msimbazi.
Uwekezaji Alisha fanya, Sasa mi mwendo wa pasukwapasu kuanzia fedha inazopata Simba katika Kila udhamini Kwa timu ya wanawake na wanaume.
Fedha zinazotolewa na CAF n.k
Mwacheni Mudi ajilie matunda yake, timu kaitoa mbalisana.
Ni lazima kufungua akili za wajinga wachacheNenda offisi za simba utambiwa 49% imewekwa wapi
Hutu tutakutukana sana
Nyie mmefunguliwa hapo utopoloni?Ni lazima kufungua akili za wajinga wachache
Mmepigwa na ponjoroMzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.
Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?
Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa msovero?
Wajinga mpo wengi!!Huna hoja ya msingi umeandika utumbo! Badala ya kuhoji 51% iko wapi na inafanya kazi gani unahoji 49% ya mtu ambaye analea timu na kusajili wachezaji! Kweli akili si nywele!
Nlisikia et alijengewa mjengo wa maana na Mo akauchunahivi huyu mzee yupo? alipewa nini akanyamaza? kwanini alinyamaza?
TANZANIA KUNA VIWANDA VYA UONGONlisikia et alijengewa mjengo wa maana na Mo akauchuna
Ninachojua Mimi hiyo 51% ndio Simba yenyewe ,yaan mfano mdogo .Huna hoja ya msingi umeandika utumbo! Badala ya kuhoji 51% iko wapi na inafanya kazi gani unahoji 49% ya mtu ambaye analea timu na kusajili wachezaji! Kweli akili si nywele!