Mzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.
Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?
Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa msovero?
Ni huzuni kuu sana.Mungu ambariki Mzee Kilomoni! Hakika alipigania sana maslahi ya timu yetu ya simba! Ona mpaka sasa hata hatujui zile bilioni 20 za mwekezaji wetu zilipo!
Ukihoji, unaonekana mbaya! Unaishia tu kutukanwa matusi ya kila aina na vibaraka wa mwekezaji! Hili jambo halikubliki hata kidogo!
Mzee Kilomoni, rudi Klabuni uje uokoe jahazi kabla halijazama. Hata kwa kupitia mapinduzi, bado tutakuunga mkono.
Nakubali mkuu, watu hawataki kuhoji.Nyie ni mbumbumbu tu
Usipindishe mada... pesa za mwekezaji zipo wapi? Tunajificha kwenye vivuli vya Yanga na kuingia makundi Africana.Nyie mmefunguliwa hapo utopoloni?
Mna mchezaji hewa tangu asajiliwe hajacheza hata mechi moja na bado anakula mshahara bure
Aweke kwenye account yetu sasa..Bilioni 20 ni hela ya mboga kwa Mo
Huna unachokijua kuhusu transformation ya club, Rage alisema lakini kua wengi wetu ni mbumbumbu.Huna hoja ya msingi umeandika utumbo! Badala ya kuhoji 51% iko wapi na inafanya kazi gani unahoji 49% ya mtu ambaye analea timu na kusajili wachezaji! Kweli akili si nywele!
Walimpeleka ndani kwa kuhoji ukweli, si unajua mwenye nacho tena...hivi huyu mzee yupo? alipewa nini akanyamaza? kwanini alinyamaza?
Sawa, bilioni 20 zipo wapi? Huu umaamuma mie sitaki, matola tulimuimbia live aondoke, Kanjibah tunamuogopa nini?Yote kwa yote nabi out aondoke atuachie timu yetu sisi wanayanga tumemchoka
Sitaki kujua, kwenye club transformation tuliyoifanya wajibu wa Mo unajulikana, je ameufanyia kaz?Eti PESA ZETU!!!?? tafuta ada za watoto.
Aden Rage alipowaita MBUMBUMBU mlinuna, hivi unajua MoDewji anatumia na ametumia sh.ngapi hapo Simba?
[emoji1787][emoji1787]kumbe mmejaa yanga kuulizia hela za simba ...pambaneni na hali yenuMungu ambariki Mzee Kilomoni! Hakika alipigania sana maslahi ya timu yetu ya simba! Ona mpaka sasa hata hatujui zile bilioni 20 za mwekezaji wetu zilipo!
Ukihoji, unaonekana mbaya! Unaishia tu kutukanwa matusi ya kila aina na vibaraka wa mwekezaji! Hili jambo halikubliki hata kidogo!
Mzee Kilomoni, rudi Klabuni uje uokoe jahazi kabla halijazama. Hata kwa kupitia mapinduzi, bado tutakuunga mkono.
Mnaogopa kuhoji, kisa muhindi? Matola tulimkataa mchana kweupe! Acheni uzwazwa.Mpuuzieni huyu Leo kaamkia 20B huu Uzi wa pili anaulizia hiyo Hela I wonder kama inaingia direct kwenye akaunti yake
Duuh sio mchezoNlisikia et alijengewa mjengo wa maana na Mo akauchuna
Yessss.. kumbe tuna watu wanaelewa maana ya investment, mashabiki maandazi hawataelewa.Ninachojua Mimi hiyo 51% ndio Simba yenyewe ,yaan mfano mdogo .
Mimi Nina shamba ekari kumi ,wewe mwekezaji una capital ambayo itatakiwa itumike Sasa kulimia Hilo shamba ili mazao yakipatikana Sasa ndo tugawane hizo asilimia.
Mo ndio anaisaidia timu lakin kiuhun uhuni Sana ,hajaweka pesa yote Kama makubaliano yanavyosema ,yeye amekuja na gia ya kutoa dusu dusu na huku akiambulia faida kwa asilimia ya 49 huu ni ujinga Sana .
Ngoz nyeupe itazid kututawala sabab ya ujinga wetu
Wakuu muwe ns akili japo kidogo, Mudi alishasema pesa haipelekwi simba bali inatumika kununua bonds then kitakachopatikana kutokana kutokana na kununua bonds ndio kinatumika simbaMungu ambariki Mzee Kilomoni! Hakika alipigania sana maslahi ya timu yetu ya simba! Ona mpaka sasa hata hatujui zile bilioni 20 za mwekezaji wetu zilipo!
Ukihoji, unaonekana mbaya! Unaishia tu kutukanwa matusi ya kila aina na vibaraka wa mwekezaji! Hili jambo halikubliki hata kidogo!
Mzee Kilomoni, rudi Klabuni uje uokoe jahazi kabla halijazama. Hata kwa kupitia mapinduzi, bado tutakuunga mkono.
Kipi kimemfanya aachane na haki ya simba?TANZANIA KUNA VIWANDA VYA UONGO
Timu ina udhamini wa billions kutoka meridian bet, zamani walikuepo sports pesa, je pesa zilienda wapi?Hawez kuuliza because hata ela ya usajili hawajui inatoka wapi
Wala ela salary na timu kuweka kambi hawajui inatoka wapi
Sasa unaanzaje kuulizia hizo 20B?
Watakutukana hao, si unawajua?Na ile 2B ya uwanja ipo wapi?
Mchakato wa club transformation ulisema hivyo? Kwanini asiweke hyo pesa then board of directors na management ndio waamue kuwekeza kwenye bonds au vitu vingine vyenye masilahi? Yeye mo anajipangiaje pesa ya uwekezaji aliyopaswa kuitoa?Wakuu muwe ns akili japo kidogo, Mudi alishasema pesa haipelekwi simba bali inatumika kununua bonds then kitakachopatikana kutokana kutokana na kununua bonds ndio kinatumika simba