Ntapata wapi matunda ya stawberry hapa Dar es Salaam?

Ntapata wapi matunda ya stawberry hapa Dar es Salaam?

FAUMI

Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
19
Reaction score
2
habari;

Nahitaji matunda ya straeberry na sijui yanapatikana wapi, mim npo Dar!!

Msaada tafadhali..
 
Mtaa wa zanaki , near na ofisi ya tbc ya mjini
 
Back
Top Bottom