Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visitors wamekuwa wengi kuzidi uwezo wa server. Subiri tu muda upoMbona site yenyewe ya application haifunguki tangu jana usiku wa manane.....nyie mnafanyaje?
Mtumie hiyo pdf kwa njia ya Whatsapp au Email kisha ataidownload then atatia dole gumba, baada ya hapo atakutumia wewe kwa njia ya basi au ndege.Nimemuandika mdhamini yupo mbali na mm kidogo,takribani kilometa 1000
Sehemu ya kuweka dole gumba lake naona itakuwa gharama kumfuata.
Nawezaje kubadili mdhamini..?
Huwezi kukoment bila kutukana..hyo ndyo critical thinking capacity yako ,Kila la kheri.Mjinga kweli analeta siasa kila sehemu
Hawajataja,ila ..si lazma maoni yangu yafuatwe..Jaribu kufanya upelelezi binafs utagundua hilo.Mkuu kinachohitajika sio wadhifa wa mdhamini na Wala hutaji yeye ni nani [emoji3]
Wew pakua hiyo fomu, jaza utakapopaweza then upload back kweny acc yako hakuna atakayeanza kukagua dole gumba la mtu kweny mfumo.Nimemuandika mdhamini yupo mbali na mm kidogo,takribani kilometa 1000
Sehemu ya kuweka dole gumba lake naona itakuwa gharama kumfuata.
Nawezaje kubadili mdhamini..?
Mtoto wa kigogo hawezi fanya ivi kaziAlafu unaangaika watoto wa vigogo walisha pewa izo form na weme submit kabla ya Tangazo halijatoka rasmin.
Mkuu hizi nafasi watu wanaomba online, huyo mwenyekiti wa Kijiji sijui katibu wa ccm hawana msaada. Mungu pekee ndiye wakumtegea, ni miaka Sasa wahitimu wa vyuo wapo mtaani na hawa walipokuwa vyuoni walijiunga na ccm na taarifa zao wanazo lakini Kila mwaka hawapewi hizo ajira.Hawajataja,ila ..si lazma maoni yangu yafuatwe..Jaribu kufanya upelelezi binafs utagundua hilo.
Na hii si kwa kazi hii tu..yyte..unapoweka refferee ambaye ana fahamika na hyo taasisi inaleta imani...
Naisoma.,wadau wameshauri vizuri sana.Mleta mada soma miongozo...
Ukiweka Wilaya ya Ubungo, jimbo la Kibamba huwezi kupata Kata ya Manzese kwa sababu, Kata ya Manzese ipo jimbo la Ubungo.Wilaya zipo ila baadhi ya kata hazionekan
Anaweza aka scan akakutumia kaka,kazi rahisi tu.Nimemuandika mdhamini yupo mbali na mm kidogo,takribani kilometa 1000
Sehemu ya kuweka dole gumba lake naona itakuwa gharama kumfuata.
Nawezaje kubadili mdhamini..?
Mtandao huwa unasumbua unachotakiwa kufanya unarudi kipengele cha juu kisha unashuka hiko kinachosumbua mpaka kitaonekana tuWilaya zipo ila baadhi ya kata hazionekan
Kama umeshapakua fomu rudi kwenye username kisha password yako ( yaani kwenye account yako) ukishafungua kuna sehemu wameandika huisha taarifa, kisha unaenda sehemu ambayo unataka kubadili taarifa. Ukimaliza unatuma ili iweze kuja fomu uliyohuisha taarifa za wadhamini ulioweka kwa sasaNimemuandika mdhamini yupo mbali na mm kidogo,takribani kilometa 1000
Sehemu ya kuweka dole gumba lake naona itakuwa gharama kumfuata.
Nawezaje kubadili mdhamini..?
Unamtafuta mwenye email.Wadhamin kama hawan email tunawafanyaje wadau
Nimecheka sanaa"Dole gumba tena la mdhamini kwenye maombi ya kazi...
Mbona bongo tunachoshana hivi....
Nasema hivi, wewe kesho amka, vaa kikazi, na nenda kwenye ofisi yeyeto na anza kufanya kazi...Wakiita Polisi na kukupeleka kituoni..ukifika kituoni pia anza kufanya kazi na hapo..
Tumechoka na madole gumba na maombi ya kazi".....
View attachment 2215980