kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Nalifahamu sana soka la Tanzania, nazifahamu sana club za Yanga na simba.
Toka nimeanza kuishabikia Yanga ni zaidi ya miaka 40sasa.
Timu zetu hizi mbili Mara nyingi zinakosea kwa kuwaacha wachezaji nguzo ndani ya timu baada zina struggle kufanya vizuri kwenye msimu.
Yanga ilipomuuza msuva mpk leo inastruggle kumpata winga kama msuva au zaidi yake
Simba,ilimuu James kotei,hawajapata mtu kama yule mpk leo.
Haikutosha wakamuuza Luice MIQUISON na chama,simba sasa inatafuta wachawi.
Yanga kumuuacha Ntibazokiza ni kosa kubwa sana.
Yule ni mchezaji Mimi namwita mchezaji baba uwanjani.
Atafuta mipira,anatengeneza nafasi anafunga.
Anakasi,ana nguvu ana kila kitu.
ANAPOKUWEPO UWANJANI KILA MCHEZAJI ANAIGA KUJITUMA KWAKE.
TUTAJILAUMU HUKO MBELE
Toka nimeanza kuishabikia Yanga ni zaidi ya miaka 40sasa.
Timu zetu hizi mbili Mara nyingi zinakosea kwa kuwaacha wachezaji nguzo ndani ya timu baada zina struggle kufanya vizuri kwenye msimu.
Yanga ilipomuuza msuva mpk leo inastruggle kumpata winga kama msuva au zaidi yake
Simba,ilimuu James kotei,hawajapata mtu kama yule mpk leo.
Haikutosha wakamuuza Luice MIQUISON na chama,simba sasa inatafuta wachawi.
Yanga kumuuacha Ntibazokiza ni kosa kubwa sana.
Yule ni mchezaji Mimi namwita mchezaji baba uwanjani.
Atafuta mipira,anatengeneza nafasi anafunga.
Anakasi,ana nguvu ana kila kitu.
ANAPOKUWEPO UWANJANI KILA MCHEZAJI ANAIGA KUJITUMA KWAKE.
TUTAJILAUMU HUKO MBELE