ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona mnakosa shukrani nyie mikia?wakati mnaelewa kabisa huyo ni home boy na bado ana mapenzi ya dhati na timu yake pendwa na bado anatumia skills na improvisions za mwalimu mahiri...mmefanikiwa kumchukua toka nyumba jirani kawasaidia leo mnabwata hovyo mitaani wakati aliyewasaidia ni kinda letu wenyewe!
Hebu kuweni na utu na utulivu pia onyesheni japo shukrani,na mkizidi kelele dirisha kubwa tunamrudisha,sababu uwezo huo tunao
Shut up....
Nyie si mna kisinda mambio tambeni wananchiii 🤣🤣Mbona mnakosa shukrani nyie mikia?wakati mnaelewa kabisa huyo ni home boy na bado ana mapenzi ya dhati na timu yake pendwa na bado anatumia skills na improvisions za mwalimu mahiri...mmefanikiwa kumchukua toka nyumba jirani kawasaidia leo mnabwata hovyo mitaani wakati aliyewasaidia ni kinda letu wenyewe!
Hebu kuweni na utu na utulivu pia onyesheni japo shukrani,na mkizidi kelele dirisha kubwa tunamrudisha,sababu uwezo huo tunao
Shut up....
Yanga kuna wapumbavu wengi sanaMbona mnakosa shukrani nyie mikia?wakati mnaelewa kabisa huyo ni home boy na bado ana mapenzi ya dhati na timu yake pendwa na bado anatumia skills na improvisions za mwalimu mahiri, mmefanikiwa kumchukua toka nyumba jirani kawasaidia leo mnabwata hovyo mitaani wakati aliyewasaidia ni kinda letu wenyewe!
Hebu kuweni na utu na utulivu pia onyesheni japo shukrani, na mkizidi kelele dirisha kubwa tunamrudisha, sababu uwezo huo tunao.
Shut up....
Kwa Jana ata kisinda angeweza kufunga hatrick,mpira gani ule,na wachazaji pinzani wapo pungufuMtamrudisha wakati mmesema mzee,wivu tu,halafu mbona alipokuwa kwenu hakuwahi kufunga hatrick
UMETOKA KUNYONYWA KINYEO UKAAMUA UJE UHARISHE HUMU JAMVINI AU SIO.Mbona mnakosa shukrani nyie mikia?wakati mnaelewa kabisa huyo ni home boy na bado ana mapenzi ya dhati na timu yake pendwa na bado anatumia skills na improvisions za mwalimu mahiri, mmefanikiwa kumchukua toka nyumba jirani kawasaidia leo mnabwata hovyo mitaani wakati aliyewasaidia ni kinda letu wenyewe!
Hebu kuweni na utu na utulivu pia onyesheni japo shukrani, na mkizidi kelele dirisha kubwa tunamrudisha, sababu uwezo huo tunao.
Shut up....
Afunge hattrick kwa mshahara gani?Mtamrudisha wakati mmesema mzee,wivu tu,halafu mbona alipokuwa kwenu hakuwahi kufunga hatrick
Kwa uandishi huu ukizeeka naziona kila dalili za kuja kuwa kama wale wazeeKwa Jana ata kisinda angeweza kufunga Garrick,mpira gani ule,na wachazaji pinzani wapo pungufu
Morrison kaenda kwao,hatakagi ujinga yuleUnamtema Saidoo unamsajili Morisson una akili kweli wewe
Mbona nyinyi mlicheza nao hamkufunga hizo goli, niambie msimu huu lini mmefunga 4-0,jibu hamna safu ya ushambuliaji kaliKwa Jana ata kisinda angeweza kufunga hatrick,mpira gani ule,na wachazaji pinzani wapo pungufu
Tangu lini amekuwa Kinda..si mlisema MzeeMbona mnakosa shukrani nyie mikia?wakati mnaelewa kabisa huyo ni home boy na bado ana mapenzi ya dhati na timu yake pendwa na bado anatumia skills na improvisions za mwalimu mahiri, mmefanikiwa kumchukua toka nyumba jirani kawasaidia leo mnabwata hovyo mitaani wakati aliyewasaidia ni kinda letu wenyewe!
Hebu kuweni na utu na utulivu pia onyesheni japo shukrani, na mkizidi kelele dirisha kubwa tunamrudisha, sababu uwezo huo tunao.
Shut up....
Lini tumecheza na wachezaji pungufu Kama nyie ,Mara ya pili Sasa,ingekua sisi hiyo Jana mtu akalimwa bao kumiMbona nyinyi mlicheza nao hamkufunga hizo goli, niambie msimu huu lini mmefunga 4-0,jibu hamna safu ya ushambuliaji kali
Na wakimletea za kuleta anawaburuza CAS na huko anawagaragaza kama kawaida yakeM
Morrison kaenda kwao,hatakagi ujinga yule