Bwana Twaha! Sikia
Mie, nilivuliwa uongozi wangu kwa maelekezo ya TAL Januari 9, 2025.
Nami, siku hiyo-hiyo ya Januari 9, 2025, niwasilisha rufaa yangu kwa KM tena kwa hati ya dharula chini ya Wakili wangu
johnmallya
Mpaka jana, Kamati Kuu imefanya vikao zaidi ya 4, lakini hawajasikiliza rufaa yangu ambayo imepeleka kwa hati ya dharula kupinga kuenguliwa bila kusikilizwa na Kamati ya Maadili kwa mujibu wa Katiba.
Wewe, rufaa yako ya Jana unaanza kulia-lia? TULIA Chama kina mambo mengi!
Mie, nilivuliwa uongozi wangu kwa maelekezo ya TAL Januari 9, 2025.
Nami, siku hiyo-hiyo ya Januari 9, 2025, niwasilisha rufaa yangu kwa KM tena kwa hati ya dharula chini ya Wakili wangu
johnmallya
Mpaka jana, Kamati Kuu imefanya vikao zaidi ya 4, lakini hawajasikiliza rufaa yangu ambayo imepeleka kwa hati ya dharula kupinga kuenguliwa bila kusikilizwa na Kamati ya Maadili kwa mujibu wa Katiba.
Wewe, rufaa yako ya Jana unaanza kulia-lia? TULIA Chama kina mambo mengi!

