Pre GE2025 Ntobi ampongeza Tundu Lissu licha ya kumtukana na kumkejeli mitandaoni kabla ya Uchaguzi CHADEMA

Pre GE2025 Ntobi ampongeza Tundu Lissu licha ya kumtukana na kumkejeli mitandaoni kabla ya Uchaguzi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Emmanuel Ntobi, kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ametoa pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Tundu Lissu, kutokana na ushindi wake wa nafasi ya uenyekiti wa taifa.

Kupitia chapisho lake katika mtandao wa X, Ntobi pia amemshukuru Freeman Mbowe, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, kwa mchango wake mkubwa katika kukuza demokrasia ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
1737550048402.png
Hata hivyo, kauli ya Ntobi imeibua mjadala miongoni mwa wanachama wa CHADEMA na wachambuzi wa siasa kutokana na historia yake ya kumkosoa vikali Tundu Lissu, hususan katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa ndani ya chama.

Ntobi, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, alijipatia umaarufu kwa matamshi yake ya moja kwa moja dhidi ya Lissu. Katika kipindi cha siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa uongozi wa CHADEMA, Ntobi amewahi kumkosoa Lissu kwa kile alichokielezea kama "uropokaji" na kushindwa kuwa na busara katika maamuzi ya kisiasa.

Moja ya kauli zake zilizonukuliwa zaidi ni pale alipomtaja Lissu kama "mropokaji", ‘mbea’ na kumshutumu kuwa hana uwezo wa kutunza siri za chama. Aidha, Ntobi alidai kuwa Lissu hakuwa mtu sahihi kuongoza CHADEMA kutokana na tabia zake, ambazo alizitaja kuwa za kuharibu mahusiano ya chama na wadau wake wa kitaifa na kimataifa.

Pia amewahi kumtuhumu Lissu kufadhili na kuunda kikosi kilichokuwa kinatumia jina la " Sauti ya Wananchi" akishirikiana na watu maarufu mtandaoni na maafisa wa CCM, idara ya usalama wa taifa na Diaspora kwaajili ya kumfitini Mbowe

Aidha Ntobi amekuwa akimuhusisha na baadhi ya matendo yasiyofaa kimaadili kupitia maandikio yake akimuhusisha na "Mzungu" hasa pale Lissu anapokuwa safarini nje ya nchi kama "
Screenshot 2025-01-22 154132.png
 
Siasa siyo uadui

Hatimaye Wafuasi wawili watiifu Kwa Mwenyekiti mstaafu Mbowe wamesema wanampongeza sana mh Tundu Lisu na makamu wake mh Heche Kwa ushindi mnono

Aidha wamesema wako tayari kupokea uteuzi wowote Chamani kama Ishara ya kuimarisha mshikamano na kuuwa makundi

Wameongea Kurasani kwao X
Screenshot 2025-01-22 161257.png

Screenshot 2025-01-22 161140.png


Ahsanteni sana 😄
 
#Tundu Lissu pls don't touch that rubbish!, tumepigana kweli na wahuni hawa!
 
Emmanuel Ntobi, kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ametoa pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Tundu Lissu, kutokana na ushindi wake wa nafasi ya uenyekiti wa taifa.

Kupitia chapisho lake katika mtandao wa X, Ntobi pia amemshukuru Freeman Mbowe, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, kwa mchango wake mkubwa katika kukuza demokrasia ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Hata hivyo, kauli ya Ntobi imeibua mjadala miongoni mwa wanachama wa CHADEMA na wachambuzi wa siasa kutokana na historia yake ya kumkosoa vikali Tundu Lissu, hususan katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa ndani ya chama.

Ntobi, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, alijipatia umaarufu kwa matamshi yake ya moja kwa moja dhidi ya Lissu. Katika kipindi cha siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa uongozi wa CHADEMA, Ntobi amewahi kumkosoa Lissu kwa kile alichokielezea kama "uropokaji" na kushindwa kuwa na busara katika maamuzi ya kisiasa.

Moja ya kauli zake zilizonukuliwa zaidi ni pale alipomtaja Lissu kama "mropokaji", ‘mbea’ na kumshutumu kuwa hana uwezo wa kutunza siri za chama. Aidha, Ntobi alidai kuwa Lissu hakuwa mtu sahihi kuongoza CHADEMA kutokana na tabia zake, ambazo alizitaja kuwa za kuharibu mahusiano ya chama na wadau wake wa kitaifa na kimataifa.

Pia amewahi kumtuhumu Lissu kufadhili na kuunda kikosi kilichokuwa kinatumia jina la " Sauti ya Wananchi" akishirikiana na watu maarufu mtandaoni na maafisa wa CCM, idara ya usalama wa taifa na Diaspora kwaajili ya kumfitini Mbowe

Aidha Ntobi amekuwa akimuhusisha na baadhi ya matendo yasiyofaa kimaadili kupitia maandikio yake akimuhusisha na "Mzungu" hasa pale Lissu anapokuwa safarini nje ya nchi kama "
Ni jambo jema, alikengeuka.Asahau yaliyopita wajenge chama, uzuri wa lissu Hana visasi
 
Siasa siyo uadui

Hatimaye Wafuasi wawili watiifu Kwa Mwenyekiti mstaafu Mbowe wamesema wanampongeza sana mh Tundu Lisu na makamu wake mh Heche Kwa ushindi mnono

Aidha wamesema wako tayari kupokea uteuzi wowote Chamani kama Ishara ya kuimarisha mshikamano na kuuwa makundi

Wameongea Kurasani kwao X
View attachment 3210196
View attachment 3210197

Ahsanteni sana 😄
Wewe Chawa John unasemaje?
 
Siasa siyo uadui

Hatimaye Wafuasi wawili watiifu Kwa Mwenyekiti mstaafu Mbowe wamesema wanampongeza sana mh Tundu Lisu na makamu wake mh Heche Kwa ushindi mnono

Aidha wamesema wako tayari kupokea uteuzi wowote Chamani kama Ishara ya kuimarisha mshikamano na kuuwa makundi

Wameongea Kurasani kwao X
View attachment 3210196
View attachment 3210197

Ahsanteni sana 😄
Vipi huko lumumba bwashee
 
Hiyo kawaida uchaguzi umeisha, mipango iwe kuelekea 2025
 
Siasa siyo uadui

Hatimaye Wafuasi wawili watiifu Kwa Mwenyekiti mstaafu Mbowe wamesema wanampongeza sana mh Tundu Lisu na makamu wake mh Heche Kwa ushindi mnono

Aidha wamesema wako tayari kupokea uteuzi wowote Chamani kama Ishara ya kuimarisha mshikamano na kuuwa makundi

Wameongea Kurasani kwao X
View attachment 3210196
View attachment 3210197

Ahsanteni sana 😄
Uchaguzi Keisha aliyepita kazi iendelee, chadema mmeprove ukubwa went ni muda wa kuzika tofauti
 
Emmanuel Ntobi, kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ametoa pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Tundu Lissu, kutokana na ushindi wake wa nafasi ya uenyekiti wa taifa.

Kupitia chapisho lake katika mtandao wa X, Ntobi pia amemshukuru Freeman Mbowe, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, kwa mchango wake mkubwa katika kukuza demokrasia ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Hata hivyo, kauli ya Ntobi imeibua mjadala miongoni mwa wanachama wa CHADEMA na wachambuzi wa siasa kutokana na historia yake ya kumkosoa vikali Tundu Lissu, hususan katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa ndani ya chama.

Ntobi, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, alijipatia umaarufu kwa matamshi yake ya moja kwa moja dhidi ya Lissu. Katika kipindi cha siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa uongozi wa CHADEMA, Ntobi amewahi kumkosoa Lissu kwa kile alichokielezea kama "uropokaji" na kushindwa kuwa na busara katika maamuzi ya kisiasa.

Moja ya kauli zake zilizonukuliwa zaidi ni pale alipomtaja Lissu kama "mropokaji", ‘mbea’ na kumshutumu kuwa hana uwezo wa kutunza siri za chama. Aidha, Ntobi alidai kuwa Lissu hakuwa mtu sahihi kuongoza CHADEMA kutokana na tabia zake, ambazo alizitaja kuwa za kuharibu mahusiano ya chama na wadau wake wa kitaifa na kimataifa.

Pia amewahi kumtuhumu Lissu kufadhili na kuunda kikosi kilichokuwa kinatumia jina la " Sauti ya Wananchi" akishirikiana na watu maarufu mtandaoni na maafisa wa CCM, idara ya usalama wa taifa na Diaspora kwaajili ya kumfitini Mbowe

Aidha Ntobi amekuwa akimuhusisha na baadhi ya matendo yasiyofaa kimaadili kupitia maandikio yake akimuhusisha na "Mzungu" hasa pale Lissu anapokuwa safarini nje ya nchi kama "
hivi huyu jamaa ana elimu gani?
 
Emmanuel Ntobi, kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ametoa pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Tundu Lissu, kutokana na ushindi wake wa nafasi ya uenyekiti wa taifa.

Kupitia chapisho lake katika mtandao wa X, Ntobi pia amemshukuru Freeman Mbowe, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, kwa mchango wake mkubwa katika kukuza demokrasia ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Hata hivyo, kauli ya Ntobi imeibua mjadala miongoni mwa wanachama wa CHADEMA na wachambuzi wa siasa kutokana na historia yake ya kumkosoa vikali Tundu Lissu, hususan katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa ndani ya chama.

Ntobi, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, alijipatia umaarufu kwa matamshi yake ya moja kwa moja dhidi ya Lissu. Katika kipindi cha siku kadhaa kabla ya uchaguzi wa uongozi wa CHADEMA, Ntobi amewahi kumkosoa Lissu kwa kile alichokielezea kama "uropokaji" na kushindwa kuwa na busara katika maamuzi ya kisiasa.

Moja ya kauli zake zilizonukuliwa zaidi ni pale alipomtaja Lissu kama "mropokaji", ‘mbea’ na kumshutumu kuwa hana uwezo wa kutunza siri za chama. Aidha, Ntobi alidai kuwa Lissu hakuwa mtu sahihi kuongoza CHADEMA kutokana na tabia zake, ambazo alizitaja kuwa za kuharibu mahusiano ya chama na wadau wake wa kitaifa na kimataifa.

Pia amewahi kumtuhumu Lissu kufadhili na kuunda kikosi kilichokuwa kinatumia jina la " Sauti ya Wananchi" akishirikiana na watu maarufu mtandaoni na maafisa wa CCM, idara ya usalama wa taifa na Diaspora kwaajili ya kumfitini Mbowe

Aidha Ntobi amekuwa akimuhusisha na baadhi ya matendo yasiyofaa kimaadili kupitia maandikio yake akimuhusisha na "Mzungu" hasa pale Lissu anapokuwa safarini nje ya nchi kama "
hivi huyu jamaa ana elimu gani?
 
Back
Top Bottom