Pre GE2025 Ntobi avuliwa Uenyekiti Mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee wa hovyo nini unatumia kinakufanyqa uwe chizi? Tuonyeshe tuhuma mbili tu za Lissu zinazofanana na Ntobi, usipoonyesha jua tutakuchukulia kama mlevi
 
utamsikiaje na hutaki kuskia?

kwahiyo kibaraka anaenda behind the scenes sio live right?

kwamba kibaraka kuwaita wengine wala rushwa, au wengine wametumwa kugombea umakamu wenyekit kumkabili yeye n.k, huo sio uropokaji gentleman?πŸ’
Punguza bangi basi, mla rushwa ukimuita mla rushwa ni tusi? Ndio maana CCM usipokuwa mla rushwa hupati uongozi, hamtaki kusikia anayekemea wala rushwa.

Kusema kweli haijawahi kuwa uropokaji kwa wenye akili timamu labda vilaza
 
Wasingemvua kipindi hiki cha chaguzi.
Wangesubiria hadi uchaguzi upite.
Vinginevyo itaonekana ni upande wa mpinzani wa Ntobi ndo ume-engineer.
 
kwani humuungawana kusema kwamba huyo kibaraka wa mabenyenye ya magharibi anashiriki ndoa za jinsia moja, kosa lake liko wap gentleman πŸ’
Punguza bangi basi, mla rushwa ukimuita mla rushwa ni tusi? Ndio maana CCM usipokuwa mla rushwa hupati uongozi, hamtaki kusikia anayekemea wala rushwa.

Kusema kweli haijawahi kuwa uropokaji kwa wenye akili timamu labda vilaza
 
Mzee wa hovyo nini unatumia kinakufanyqa uwe chizi? Tuonyeshe tuhuma mbili tu za Lissu zinazofanana na Ntobi, usipoonyesha jua tutakuchukulia kama mlevi
Kibaraka ameolewa ughaibuni na ndume mwenzie,
kweli si kweli?πŸ’
 
Umesahau matusi ya Nape kwa Marehemu Lowasa? Au matusi aliyotukanwa Mzee Salim Ahmed Salim aliposhindana na Kikwete 2005? Au umesahau alivyozabwa kibao Mzee Warioba pale Ubungo 2014 ,na aliyemzaba sasa ni kiongozi mkubwa serikalini?
Huyo alikuwa kwao Nanjilinji huko anakula panya na kunywa Nipa.
 
Inavyoonekana yeyote anayemkataa mkubwa hana nidhamu! Ntobi anampinga Lissu kwa nguvu zake zote na Lissu anampinga Ayatollah Mbowe kwa nguvu zake zote!
Kwa akili finyu iliyopofushwa na matamanio ya moyo. Bahati nzuri ushahidi wa post za Ntobi zimewekwa humu jukwaani, za Lissu zimewekwa kwenye akili na mioyo ya wapuuzi
 
kwani humuungawana kusema kwamba huyo kibaraka wa mabenyenye ya magharibi anashiriki ndoa za jinsia moja, kosa lake liko wap gentleman πŸ’
Ndoa za aina moja? Inaelekea alikutaliki ndio maana unamtolea siri
 
Kwa akili finyu iliyopofushwa na matamanio ya moyo. Bahati nzuri ushahidi wa post za Ntobi zimewekwa humu jukwaani, za Lissu zimewekwa kwenye akili na mioyo ya wapuuzi
Umepotoka; usidhani kila mtu hapa ni shabiki wa Mbowe au Lissu. Whoever wins kwangu makes no difference. Ninachokisema mimi ni kwamba huu ni msimu wa uchaguzi; ni vizuri wanachama wakawa huru kuchambua strengths/weaknesses za wagombea ili waweze kuweka madarakani viongozi wanaowaona wao wanafaa!
 
Hii ni lugha tofauti na niliyorespond, simamia post yako. Kupinga anavyopinga Ntobi ni kashfa na kejeli, na ndio maana chama kimemchukulia hatua. Lissu wapi ametoa kashfa na kejeli? Una mapenzi hauko fair usizunguke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…