Ntobi: Baraza kuu la CHADEMA lakubaliana na maamuzi ya kamati kuu

Ntobi: Baraza kuu la CHADEMA lakubaliana na maamuzi ya kamati kuu

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.

Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.

Je, kuna swali?
Anaandika Ntobi
Screenshot 2025-01-20 202719.png
 
Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.

Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.

Je, kuna swali?
Wacha uongo wako ,mjinga Mmoja wee.
 
Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.

Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.

Je, kuna swali?
Akili zako zina wadudu
 
Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.

Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.

Je, kuna swali?
Anaandika Ntobi
ni muhimu sana watovu wa nidhamu na wenye viburi kuenguliwa na kutopewa nafasi za uongozi :NoGodNo:
 
ni muhimu sana watovu wa nidhamu na wenye viburi kuenguliwa na kutopewa nafasi za uongozi :NoGodNo:
Mbowe ndio wa kujilaumu kwa kufuga wahuni ndani ya chama chake, leo Chadema ni kama ukoo wa Kambale.

Sijawahi kuikubali ccm, lakini walichokifanya Dodoma kwenye mkutano mkuu ni funzo kwa vyama vyote.

DJ niletee January Makamba na chawa wake na jisongi ukihitajika utaitwa.
 
Mbowe ndio wa kujilaumu kwa kufuga wahuni ndani ya chama chake, leo Chadema ni kama ukoo wa Kambale.

Sijawahi kuikubali ccm, lakini walichokifanya Dodoma kwenye mkutano mkuu ni funzo kwa vyama vyote.

DJ niletee January Makamba na chawa wake na jisongi ukihitajika utaitwa.
🚮 🚮 🚮 🚮 🚮
 
Back
Top Bottom