Wacha uongo wako ,mjinga Mmoja wee.Baraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.
Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.
Je, kuna swali?
Akili zako zina waduduBaraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.
Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.
Je, kuna swali?
Umepanic? Hata bado 21?Wacha uongo wako ,mjinga Mmoja wee.
Mbona Mrema kasema hoja yao haijadiliwi?Umepanic? Hata bado 21?
ni muhimu sana watovu wa nidhamu na wenye viburi kuenguliwa na kutopewa nafasi za uongoziBaraza kuu la CHADEMA, kwa kauli moja, limekubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwaengua kina Twaha na genge lao kutogombea ujumbe wa kamati kuu kwa kupiga kura za wazi.
Demokrasia inazidi kushamiri ndani ya Chama chetu.
Je, kuna swali?
Anaandika Ntobi
Mbowe ndio wa kujilaumu kwa kufuga wahuni ndani ya chama chake, leo Chadema ni kama ukoo wa Kambale.ni muhimu sana watovu wa nidhamu na wenye viburi kuenguliwa na kutopewa nafasi za uongozi
🚮 🚮 🚮 🚮 🚮Mbowe ndio wa kujilaumu kwa kufuga wahuni ndani ya chama chake, leo Chadema ni kama ukoo wa Kambale.
Sijawahi kuikubali ccm, lakini walichokifanya Dodoma kwenye mkutano mkuu ni funzo kwa vyama vyote.
DJ niletee January Makamba na chawa wake na jisongi ukihitajika utaitwa.